AmenMarahaba za uzima,ubarikiwe
Utaratibu wao ni mzuriWenzetu wana utamaduni wa kusoma vitabu
......
1934 - Majambazi wa benki Bonny and Clyde wanauwawa na FBI katika mapambano ya kurushiana risasi.
Majamnazi hao walitikisa sana ndani ya Marekani kwa kuvamia na kuiba katika Mabenki kipindi cha Mdororo wa Uchumi ( World Economic Depression. )
Aisee hao walikuwa ni zaidi ya stelingi kwenye filamu
Bonny=Bonnie lilikuea ni jambazi sugu pamoja na demu lake
......
Asante kwa leo katika historia musoliniLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Poleni wakina mama mliofiwa na waume zenu kwa kuuawa bila hatia,na hata kama ilikuwepo sheria ilipaswa kuchukua mkondo.
Morning mkuu Shululu ubarikiweMorning all kapuku
Pole kwa usumbufu,tunashukuru tumeyapata,kawia ufike na yamefika,hongeraNetwork ilikuwa shida sana ndio maana magazeti yamechelewa
SanaaaTuweni makini na ulaji wa mayai ya barabarani na chips yai (zege)
1945 - Mkuu wa Jeshi la kijerumani la Schutzstaffel( SS ) Heinrich Himmler anajiua.
Hiyo ni baada ya utawala wa Hitler kuanguka, na kamanda huyo kukamatwa.
Asante sana NyageiWakati Mussolin5 anajiandaa tukapate ratiba ya mechi za leo
Asante kwa Udhamini mkuu Archiduke na mkuu Ipogolo Mungu awabariki sanaRatiba za michezo ya leo kwa hisani ya Archduke na ipogolo
Heri kufa kishujaa kuliko kufa kikondooHawa ndio wanaume halisi wa Kijerumani wana roho za paka kupambana hadi Mwisho walizidiwa hujiua ili kuepuka kidhalilishwa
Hitler km kiongozi wao alifanya hivyo japo kuna utata
Gobbells km Waziri wa propaganda alifanya hivyo pia
.......
Asante kwa Udhamini mkuu Archiduke na mkuu Ipogolo Mungu awabariki sana
Asante sana Nyagei
Aisee nilikua silijui hilo- Leo ni siku yaKimataifa ya kutunza Kobe duniani.
Nawe pia CaptainLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.