Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
NilipapendaOkkkky mkuu.
Lushoto Mahali pazuri saana
Baridi km Ulaya
Milima ya Usambara ndo shiida
.............
NilipapendaOkkkky mkuu.
Lushoto Mahali pazuri saana
Hadii raaah yani dah....Kafundwa kwaooo,kwamba asipokuwa omba omba mumewe atamzidishia mahabaa! uzuri wenyewe huku wala hela haina kazi sana maana mafuta tunalima wenyewe ufuta, vitumbua asubuhi tunakaangia mafuta ya mawese, chai tunaweka asali badala ya sukari, mpunga na mahindi ya kutosha, sana sana ni hela tu ya chumbi na nyama kidogo ya kuchanganyia ya tetere na ndezi!
Mkuu naona leo umeamua kutiririka.Hadii raaah yani dah....
Huku mjini lazima tuwape hela.
Nywele zile za katani lazima waweke.
Kucha zao haziwatoshi lazima wabandike zile zenye rangi nzuri
Nyusi na kope lazima waziwekee rangi rangi flank nzuri ili wapendeze.
Mdomoni lazima wapake pia. Ili wawe wazuri.
Ndio hivvyo lazima tulipie.....na maisha yanakwenda
Okey. I miss there.Tanga-Lushoto
Leo lazima tufikishe 20,000Mkuu naona leo umeamua kutiririka.
Zinafika na zitapita.Leo lazima tufikishe 20,000
Hadii raaah yani dah....
Huku mjini lazima tuwape hela.
Nywele zile za katani lazima waweke.
Kucha zao haziwatoshi lazima wabandike zile zenye rangi nzuri
Nyusi na kope lazima waziwekee rangi rangi flank nzuri ili wapendeze.
Mdomoni lazima wapake pia. Ili wawe wazuri.
Ndio hivvyo lazima tulipie.....na maisha yanakwenda
Jamaa nafikiri ameibiwa simu.
Pamoja mkuu, nliwahi kuwepo shambalai high school wakati A Levo inaanza, sikukaa nkahama.Nilipapenda
Baridi km Ulaya
Milima ya Usambara ndo shiida
.............
Sasa ukifanya hivvyo Si 80% watakuwa ma Associate profesa...Ukipata mke mpenda hela ni jambo zuri kwa kuwa anakupa akili ya kutafuta hela kwa kasi kubwa!
Na ukipata mke mfanyakazi anayelipwa 300,000 kwa mwezi ila anamiliki simu ya 900,000 inayojaza salio la 75,000 kwa mwezi anapiga wigi la 250,000 kucha na scrub kila weekend 20,000 nyumbani analetwa na 'private car' nguo za 200,000 TK Fashion basi huyo mpeleke UDSM kwenye kitivo cha biashara na mambo ya uchumi wampe uprofesa wa uchumi moja kwa moja!
Pale Shambalai kumegeuzwa stand ya mabasiPamoja mkuu, nliwahi kuwepo shambalai high school wakati A Levo inaanza, sikukaa nkahama.
Ila Jamaa walikuwa wanakuja saana hija (jirani) kuchukua totoz....
Anyway those days
Ndio Haata mie nlishangaa mwaka Jana nlivyenda.Pale Shambalai kumegeuzwa stand ya mabasi
Watoto wa Kisambaa hatari sana
.............
Ha haa.....
Dah,wewe jamaa umeniacha hoi na mahesabu yako haya.Ukipata mke mpenda hela ni jambo zuri kwa kuwa anakupa akili ya kutafuta hela kwa kasi kubwa!
Na ukipata mke mfanyakazi anayelipwa 300,000 kwa mwezi ila anamiliki simu ya 900,000 inayojaza salio la 75,000 kwa mwezi anapiga wigi la 250,000 kucha na scrub kila weekend 20,000 nyumbani analetwa na 'private car' nguo za 200,000 TK Fashion basi huyo mpeleke UDSM kwenye kitivo cha biashara na mambo ya uchumi wampe uprofesa wa uchumi moja kwa moja!
Labda ukaoee huko mkoani....Dah,wewe jamaa umeniacha hoi na mahesabu yako haya.
Ni kweli kuna wanawake ni wajuzi sana wa kutumia pesa kuliko kutafuta.
Mimi nimesha apa mwanamke wa dizain hii simtaki kabisa maana atasababisha tufe maskini.
Mimi kwanza nwanamke wa dar sitaoa.Labda ukaoee huko mkoani....
Lakini kwa hapa dar...
Wengi ndio wapo hivvyo braza.