Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Maelekezo ndo yapo hukoMkuu uko kisheria vile!
Si unajua kuokoa muda hatuwezi kurudiarudia kutoa maelezo
............
Maelekezo ndo yapo hukoMkuu uko kisheria vile!
Mke wake ni mtamu balaa.Kwani mkewe ana reception shawishi kwa bosi/kaimu bosi inayoweza kumfanya kupata safari nyingi za nje 'kikazi'?
Paroko wivu unatoka wapi?????Hadi wivu
Mke wa nani tena?Naona dogo umeanza kuokota wake za watu.
I mean, nimekukubali kwa ukaribishoMaelekezo ndo yapo huko
Si unajua kuokoa muda hatuwezi kurudiarudia kutoa maelezo
............
AsanteAsante sana nami nakupenda zaidi.
Ipuli Tabora?
Msalimie rafiki yangu
Twatofautiana uelewa, wivu means shauku ya mwingine kutamani kuiga na sio vonginevyoParoko wivu unatoka wapi?????
Kazi yako kuchunga kondoo na sio kula
Haa Haaaa......Ukiwa mwanaume wa Dar na unaona wingu kwenye maisha dawa ni kutafuta mwanamke mwenye reception nzuri kisha wewe kuwa mtiifu kwa bosi wake ili ampe mkeo safari nyingi za 'kikazi' kumwongezea kipato cha kujiunga vikundi vingi vya vikoba!
Pole kula dunia kabla haijaanza kukukula wewe na kukumalizaMule mule mkuu, jioni nikipitia chimbo moja linatwa Whats app nikipata ndovu mbili tatu naenda kumalizia siku yangu Oxygen kwenye watoto wa Uwaziri wenye miguu ya Fanta na sura za usiku!
Mke wangu.Mke wa nani tena?
Mke wake ni mtamu balaa.
Ngoja nikufanyie mpango wa kapicha kidogo.
Sio kimungu wala kishetani.....![]()
![]()
kiMunguu au kimashetaniii????????
Kweli kabisa inabidi tugawane umasikini.Mkuu inaonekana ulishamuonja si bure, ila kausha tuu maana wanasema kizuri kula na ndugu zako...ngoja tumsaidie majukumu jamaa kwa kumpa shemeji experience!
Hahhahahhaa sasa kinini?Sio kimungu wala kishetani.....
Hahaaaah Shem darling
Aisee mimi nimemiss sana kula mafenesi na machungwa.Msalimiepo mama watoto. Ukikaribia kuvuna unialikeee mkuu
Napenda saana kazi kuvuna.
Magimbi, na maharagwe.
I miss kujjin....daaah
Haa Haaaa......
Ukiwa wakijijini inabidi uoe mwanamke Wa shoka.
Mkuu huku dar hatuoi.... Ila mahitaj yote ya make tunapata