Ujue leo watu wengi hawamo humu, wapo maeneo wamepumzisha akili kidogo.Naombeni likes jamani,
Nna kazi nazo leo jumapili.
Nihaka kaukosefu ka MBUlisafiri?
Mimi akili yangu napumzishia hapa.Ujue leo watu wengi hawamo humu, wapo maeneo wamepumzisha akili kidogo.
Karibu braza, habari ya 'wikiendi'?hodi humu ....
weekend yetu inaishia hapa...Mimi akili yangu napumzishia hapa.
Duh! Pole sana, ila huwa kanasumbua wengi pia.Nihaka kaukosefu ka MB
Utaenda wapi.weekend yetu inaishia hapa...
Hapo inategemeana na wewe ulivyojipanga na mazingira yako yapoje. Mfano hata mimi mda mwingi niko busy hivyo sina mda wa kwenda popote kupumzika.Mimi akili yangu napumzishia hapa.
Kweli mkuu.Hapo inategemeana na wewe ulivyojipanga na mazingira yako yapoje. Mfano hata mimi mda mwingi niko busy hivyo sina mda wa kwenda popote kupumzika.
Utaenda wapi.
Mvua haitaki!
Utaenda wapi.
Mvua haitaki!
umeona eeh mkuu...Utaenda wapi.
Mvua haitaki!
Siyo wanagegedana kweli?Ujue leo watu wengi hawamo humu, wapo maeneo wamepumzisha akili kidogo.
Na kwako pia mkuu.jioni njema wadau
Hhahaha.Siyo wanagegedana kweli?
niaaaje bossNa kwako pia mkuu.
Mkuu.....Hahahaa umenikumbusha mshikaji wangu mmoja alichoimba huyu mbunge ni sawa kabisa