Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu kijijini ni kuoa tu mwanamke mwenye bidii na uzoefu kwenye stadi za maisha,ajue walau kulima zao moja la biashara na aina mbili tatu za zao la chakula! Tena mtafute mwenye nywele kipilipili hasa ili kupunguza bajeti ya saluni kwa kuwa kipilipili hata msuko wa twende kilioni kinakubali tu!


Ha haa Huyo mwanamke Wa kijijini kusuka ni anasaaa.....

Mnyoe kipara alafu MPE remba kubwa.

Wakijijin mnafaidi...mnoo. Sisi huku deileee ni kukamuliwa hela.

I miss kjjn huko
 
Mkuu lushoto umekaa sehemu gani? Bumbuli, mlalo mloa,soni, ngwelo??? Magamba?

Osiieh
41c84b59ddbc2e40e67dad3156b79d4b.jpg
f39dd2c68924faa4980f93143c574c0f.jpg

Nilikuwa nasoma IJA ...Nimekaa Sinza & Dochi halafu nilikuwa naendaenda SEKOMU kule Mlalo
Sijawahi kupanda Shambalai basi la Kisambaa nilikuwa napiga Manning Nice tu

..................
 


Ha haa Huyo mwanamke Wa kijijini kusuka ni anasaaa.....

Mnyoe kipara alafu MPE remba kubwa.

Wakijijin mnafaidi...mnoo. Sisi huku deileee ni kukamuliwa hela.

I miss kjjn huko

Kafundwa kwaooo,kwamba asipokuwa omba omba mumewe atamzidishia mahabaa! uzuri wenyewe huku wala hela haina kazi sana maana mafuta tunalima wenyewe ufuta, vitumbua asubuhi tunakaangia mafuta ya mawese, chai tunaweka asali badala ya sukari, mpunga na mahindi ya kutosha, sana sana ni hela tu ya chumbi na nyama kidogo ya kuchanganyia ya tetere na ndezi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom