Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo ni siku ya kupeana mrejesho wa tulichoingiza ama kupoteza kwa week inayomalizika ya kazi...marehemu bibi wa mjomba wa rafiki yangu aliwahi niusia kwamba "ili ujue unapoelekea ni lazima uwe na dira ya kukuongoza". Ndiyo maana mimi na mama yenu ikifika siku hii ya leo kwanza tunaenda kumshukuru aliye juu kisha tunarudi nyumbani ku review ni wapi tulipo na ni kwanini hatukufikia malengo ya week! Kwa hiyo mkuu leo nipo tu Ipuli kijijini huku!
Msalimiepo mama watoto. Ukikaribia kuvuna unialikeee mkuu

Napenda saana kazi kuvuna.

Magimbi, na maharagwe.

I miss kujjin....daaah
 
Leo ni siku ya kupeana mrejesho wa tulichoingiza ama kupoteza kwa week inayomalizika ya kazi...marehemu bibi wa mjomba wa rafiki yangu aliwahi niusia kwamba "ili ujue unapoelekea ni lazima uwe na dira ya kukuongoza". Ndiyo maana mimi na mama yenu ikifika siku hii ya leo kwanza tunaenda kumshukuru aliye juu kisha tunarudi nyumbani ku review ni wapi tulipo na ni kwanini hatukufikia malengo ya week! Kwa hiyo mkuu leo nipo tu Ipuli kijijini huku!
Ipuli Tabora?
Msalimie rafiki yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom