Ni kweli mkuu,na bado naendelea kuwaombea wotee muwe na amani na upendo kwa wote..MUNGU ANATOA AMANI KULIKO AWAYE YOTE
YOHANA MTAKATIFU 14
27.Amani nawaachieni ;amani yangu nawapa,niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo .msifadhaike mioyoni mwenu wala msiwe na woga
ASEMA BWANA WA MAJESHI