Hee...!!
tupe darsa mkuuAndiko linasema mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanaume
Kwahiyo sio suruali zote zimekatazwa, zilizokatwa ni za kiume tu![]()
![]()
Na pia imeandikwa mwanaume asifunike kichwa hivyo muache kuvaa kofia
Peace and LovePeople for peace

Kaka ndiyo maisha yetu hayo.Hee...!!
Ubarikiwe kwa maombi uliyoyafanya leo.Ndo mpango mzima mkuu
...........,..
Kweli kabisa.Mi wala siwafatishi hao, najua wale wapo kwa maslahi binafsi
Cc Rev jambilo
Mimi pia naanza kuona mabadiliko.Nasoma tuition siku hizi![]()
![]()
Uzuri hatutoki kwenda popote.kwa makapuku tulio na kauka nikuvae hii mvua haitufanyii fair kabisa![]()
![]()
![]()
![]()
Yaap uko sawa kabisa ulichokisema ndio wengine tumebak wasomaji tuSure!! Sisi kilio chetu kikuu ni hiki, kama tumeamua JF iwe ni social network ya watu wote basi each member should be treated with dignity and equality. Tabia ya mtu akichangia kitu unakimbilia kwenye profile yake kuangalia ana muda gani jf na ana likes ngapi pamoja na followers afu unarudi kumpa maneno ya kejeri ni upuuzi inaobidi ufe.
Nimekupenda bure WiFi anguWana exegarate tu hawa viongozi wa dini, ila maandiko yameweka kila kitu wazi.
Ni kama wanavyosema kuwa pombe ni dhambi ilihali maandiko hayajasema hivyo.
Kikubwa ni upendo tu hayo mengine ni mapokeo
Love is my religion
Shukrani zimuendee mwalimu wangu wa tuition falcon mombasa apite hapa kushuhudia kuwa mabadiliko yameanza kuonekanaMimi pia naanza kuona mabadiliko.
Nakupenda pia my WiiNimekupenda bure WiFi angu
Amri kuu tuyoachiwa na tunapaswa kuifuta ni UPENDO
"Let Love Lead"
Ila watu wanapenda chuki na ugomvi km wakongweNimekupenda bure WiFi angu
Amri kuu tuyoachiwa na tunapaswa kuifuta ni UPENDO
"Let Love Lead"
Nimeipenda hii