Makapuku Forum

Makapuku Forum

Upo sahihi ila kwa hiyo sentensi ya mwanzo maswali kama haya hayaepukiki.
Kumbe Kuna kuzini na asiye mwanamke?
Ukizin na huyo asiemwanamke utakua una akili au?
Mwanaume ndo kiongozi so yeye anatakiwa kufanya maamuzi katika mambo mengi tu
Sasa katazo halikuainisha hilo,

Lakini wewe ndo umekuja kutujuza kuwa aziniye na mwanamke hana akili (hapo ina maana ni mwanaume ndio ambaye hana akili)
Nataka kujua kuwa hiyo ya wote hawana akili umeipata wapi??
 

Ukiwaza sana zile amri TEN sijui km maisha yatakuwepo sababu dhambi ni sehemu ya maisha
Mfano mwanamke kuvaa suruali tu ni dhambi
..............
Sababu zipo ndo tuendelee kuzifanya au?

Najua hakuna mkamilifu chini ya jua ila tujitahidi kutenda mema
 
915b6bc9d1c14fad6cdc173cca9a208b.jpg
a9f8b454b35e036abf435d82cbec137c.jpg
741c4de6485853cffa8a3f8074042c85.jpg
3e8ab2982fa8c7ea514c31b9af2ac30e.jpg
6f2d2d73cbec6fc9fc71763270fe11f8.jpg

Loyola High School


Nilikuwa church
............................
Ni vyema kumshukuru Mungu.
 

Ukiwaza sana zile amri TEN sijui km maisha yatakuwepo sababu dhambi ni sehemu ya maisha
Mfano mwanamke kuvaa suruali tu ni dhambi
..............
Andiko linasema mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanaume
Kwahiyo sio suruali zote zimekatazwa, zilizokatwa ni za kiume tu
Na pia imeandikwa mwanaume asifunike kichwa hivyo muache kuvaa kofia
 
Sababu zipo ndo tuendelee kuzifanya au?

Najua hakuna mkamilifu chini ya jua ila tujitahidi kutenda mema
Cha msingi tupunguze kufanya maovu....hakuna anayekufa akiwa ana dhambi
Tuwe tunatubu ili tusamehewe na sio kusubiri siku tufe ndo tuombewe
.............
 
Suruali ni suruali ndio maana zina zipu sehemu moja
Kiimani ni mwiko mwanamke kuvaa suruali
.................
Wana exegarate tu hawa viongozi wa dini, ila maandiko yameweka kila kitu wazi.
Ni kama wanavyosema kuwa pombe ni dhambi ilihali maandiko hayajasema hivyo.
Kikubwa ni upendo tu hayo mengine ni mapokeo
Love is my religion
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom