Makapuku Forum

Amen
 
Ma kunisahau ushanisahau
ISAYA 49
14.Bali Sayuni alisema ,YEHOVA ameniacha,Bwana amenisahau.
15.Je !Mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyae ,hata asimuhurumie?mwana wa tumbo lake?Naam,hawa waweza kusahau,lakini mimi sitakusahau wewe.
16.Tazama,nimekuchora katika vitanga vya mikono yangu,kuta zako ziko mbele yangu daima.

Hakika Lee Empire siwezi kukusahau kama Bwana Mungu wetu asivyotusahau daima,you mean alot to me Son
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…