Duuh!
Na wanasema ukisafiri kwa ndege uwe makini sana na wanaijeria... Hawachelewi kuficha madawa ya kulevya kwenye mizigo yako ili upite kwenye kufanyiwa sachi... Ukitoka salama wanajifanya wamesahau kitu kwenye begi lako
2/India
Kwa kipindi kirefu bangi ilikuwa ni halali hadi hapo karne ya 19 walipoanza nongwa na hivyo kuwa haramu
3.4% wanavuta bang(i ila kumbukeni Wahindi wapo bilion i1.2 inashika #2 kwa idadi ya watu duniani nyuma ya China)
Wahindi Milioni 39 ni wavuta bangi
.......
Wanigeria na Waghana wanaongoza kwa utapeli Afrika
Waghana washawahi kuuliza hadi ubalozi wa Marekani kwa kutengeneza Visa feki
Bangi zinawapa mzuka
......
1/Marekani
Hata Barack Obama ujanani alipuluza sigara kubwa
Kwenye majimbo zaidi ya 20 nchini Marekani kuvuta bangi ni halali ila ni kwa kuzingatia ushauri wa kidaktari
Wamarekani 14% ni wavuta bangi ambayo ni sawa na watu milioni 44
.
.
.
.
.
Ahsanteni kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho Mwisho
............
.