Makapuku Forum

Idadi ya wavuta bhangi india sawa na idadi ya wabongo
 
Duuh!
Na wanasema ukisafiri kwa ndege uwe makini sana na wanaijeria... Hawachelewi kuficha madawa ya kulevya kwenye mizigo yako ili upite kwenye kufanyiwa sachi... Ukitoka salama wanajifanya wamesahau kitu kwenye begi lako
Wanigeria na Waghana wanaongoza kwa utapeli Afrika
Waghana washawahi kuuliza hadi ubalozi wa Marekani kwa kutengeneza Visa feki
Bangi zinawapa mzuka
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…