Makapuku Forum

Amen kubwa!
ubarikiwe!
 
1997 - Laurent Kabila anaingia ndani ya mji wa Kinshasa kuashiria kumalizika kwa utawala wa Mobutu Sesseseko.

Nchi ya Zaire yabadilishwa jina na kuwa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo.
Sio tu jina bali hadi benders imebadilishwa
Lakini vita na umaskini viko pale pale
Ndiyo nchi maskini # 1 duniani japokuwa ina rasilimali za madini
.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…