Makapuku Forum

Amen kubwa!
ubarikiwe!
 

Ilijulikana kama 6 Day War ilikuwa ni vita kati ya Israel na Syria ila Waarabu wa Misri,Jordan na Iraq wakaamua kuunganisha nguvu ili kumsaidia mwarabu mwenzao lakini mwisho Wa siku wakaambulia vipigo
......
dooh! alliance yote hiyo na bado wakala kichapo, kumbe israel wapo vizuri sana
 
1997 - Laurent Kabila anaingia ndani ya mji wa Kinshasa kuashiria kumalizika kwa utawala wa Mobutu Sesseseko.

Nchi ya Zaire yabadilishwa jina na kuwa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo.
Sio tu jina bali hadi benders imebadilishwa
Lakini vita na umaskini viko pale pale
Ndiyo nchi maskini # 1 duniani japokuwa ina rasilimali za madini
.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…