Hao makauzu ni akina nani? Ningekuwa wewe nisingekimbilia kupachika watu hizi label - makauzu, mbumbumbu, wajinga...There is always a story behind the veil
Gazeti liwasaidie nini? Quran inajitosheleza na hawahitaji gazeti ili kuendesha maisha yao. Wanalima poppy na wanavuta mkwanja wa kutosha hawahitaji gazeti wala nini. Na ukiwavamia hata uwe na silaha kali namna gani wanakunyosha tu.
Yeah. Ni wazuri sana katika uwanja huo kwa sababu hawana njia nyingine ya kujipatia umeme.
***Kwa nini inakuwa nongwa Waafrika tukiomba kusaidiana sisi kwa sisi? Ni lazima wataalamu wawe wazungu au Wachina? Waafrika sisi yaani ni shida tupu aisee!
Aren't you overusing this phrase? I know it is an irrefutable fact that God is good all the time (assuming that someone is not an atheist and ignoring the philosophical + logical conundrums), copying somebody's unrelated post only to say "All the time God is good" is kind of weird and overreaching!