Makapuku Forum

Kuswali si wanakariri tu na kuimba kaswida ila wape walau gazeti wasome hawawezi

......
Gazeti liwasaidie nini? Quran inajitosheleza na hawahitaji gazeti ili kuendesha maisha yao. Wanalima poppy na wanavuta mkwanja wa kutosha hawahitaji gazeti wala nini. Na ukiwavamia hata uwe na silaha kali namna gani wanakunyosha tu.
 
Yeah. Ni wazuri sana katika uwanja huo kwa sababu hawana njia nyingine ya kujipatia umeme.

***Kwa nini inakuwa nongwa Waafrika tukiomba kusaidiana sisi kwa sisi? Ni lazima wataalamu wawe wazungu au Wachina? Waafrika sisi yaani ni shida tupu aisee!
Sikuwa nimewaonea nongwa, ila majanga na misukosuko mingi, lakini wanaweza kuthubutu
 
It's a signature bro
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…