Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
mm simba damu tusipangiane mpk kwenye rangi ya vinywajiWewe sio simba wenye misimamo
mm simba damu tusipangiane mpk kwenye rangi ya vinywajiWewe sio simba wenye misimamo
Rangi ya choculate..Maji ya kunde sidhani hivi maji ya kunde ndio yupoje
UmeuaaaaShunie ni wa maji ya kunde (not black not white)
Shunie ana kimo cha wastani , kama futi 5 tuu hivi..
Shunie amejazia kidogo tuu..mwili wa wastani..
Shunie ana uso mpana kidogo na mashavu kidogo..
Shunie ana haiba tofauti na mnavyomuona hapa..
Kama uwongo shunie bishaaaaa kwa kuweka picha..
Cc: lee na sakayo
Timu weka pichasio uchochezi atume tu picha
UmekoseaRangi ya choculate..
Msamehe bhanasio uchochezi atume tu picha
Kwenye rangi kakosea ujueUmeuaaaa
Nakupenda sana T wangu
Kumbe anaanzisha ugomvikujidai amuonyeshe baby
Nikuanike hapa?Umekosea

Na kuna siku ulituma beer ipo kwenye glassFirst time leo nimepost picha ....
Hahahahaaa!
OK twende sasa poriniWe nipeleke porini kwanza
MfyuuuuMmmmh
Na wewe bhana, legeza kidogo basi
Za mwizi ni arobainiKazi ipo leo, T ilikuwaje ukapiga picha hivyo vinywaji
Maji ya maharagweMaji ya kunde sidhani hivi maji ya kunde ndio yupoje
Nianike rangi umekoseaNikuanike hapa?
Huko hakuna maumivu, tunacheza fainali ya FA ujueOooh arsenal tena kwenye maumivu
Za mwizi ni arobaini
Ila T bwana, mbwembwe zoote kumbe Daaaah
Au ndo yuko na Chotara





Please lovieNiko homeee bhanaaaa....
Picha nitaku-inbox bhana