Makapuku Forum

kwelii watu wamesomea agriculture lakini ku-plactice walicho kisoma kazi kweli kweli aisee ... ... ...
Yaani nimekutana na rafiki yangu mmoja kasomea masoko nikamwambia nina bidhaa nitafutie soko kashindwa anaogopa kuwafuata Wateja sasa nikajiuliza alisomea masoko au aliongezea idadi ya wanafunzi chuoni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…