Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Asante shemela kwa nukuu bora kabisa

Asante shemela kwa nukuu bora kabisa

Pamoja sana mkuu musoliniShukrani Mkuu.
Miaka mitano aisee duhLeo Katika Historia:
1939 - Lina Medina anakuwa mwanamke wa kwanza kujifungua akiwa na miaka mitano katika historia.
Lina Medina ni Mperu.
HBD Mark1984 - Mark Zuckberg anazaliwa.
Ni mfanyabiashara wa Kimarekani na mwanzilishi wa mtandao wa Facebook.
Aliwauwa sana na alisema hivi nachokifanya sasa hamuwezi kukijua, ila baadaye mtaelewa![]()
![]()
Ila Hitler baada kugundua wana IQ kubwa na nguvu akaamua kuwapunguza kwa kufanya mauaji kibao
....
Ungabure angetupiga ban daily
Japo ni bilionea na mmiliki wa FB lakini ni mtu asiyekuwa na mbwembwe yaani km Maxence Melo vile![]()
Hebu fikiria mwanzilishi wa JF angekuwa ni Ngedere Ungabu
Angekuwa anasumbua balaa
![]()
![]()
![]()
....
Mzee wa Lilongwe1898 - Kamuzu Banda anazaliwa.
Rais wa kwanza wa Malawi.
Asante musolini, nawe pia siku njemaLeo katika Historia:
Niwatakie jpili njema.
Pamoja sana.![]()
![]()
![]()
Alifariki November 25 1997 huko Johannesburg Afrika Kusini
Huko Malawi kuna akina Banda wengi balaa jina limebanda hadi Bongo
.
.
Ahsante kwa historia
.......
Haaaaahaaaa
Japo ni bilionea na mmiliki wa FB lakini ni mtu asiyekuwa na mbwembwe yaani km Maxence Melo vile![]()
Hebu fikiria mwanzilishi wa JF angekuwa ni Ngedere Ungabu
Angekuwa anasumbua balaa
![]()
![]()
![]()
....
Shukrani mkuuPamoja sana mkuu musolini
Pamoja sana bitozYanga ubingwa wetu tayari
Anayebisha ni mchawi tu
Ila mechi ya jana ilikuwa haswa baada ya Msuva kuumia wakati alifunga na hivyo kutoka![]()
Wanyakyusa sijui walikuwa wanatafuta sifa...goli lao liloluwa maridadi hasa ukimuangalia kaka jambazi(Bossou) alivyopelekeshwa kea chenga hadi kulala chini
.
.
.
Shukrani mkuu kwa magazeti
.......
Mimi nilijua tu sitadumu maana kwa kuniwekea kauzibe utafikiri hatuna udugu. Kweli mchawi ndugu🙄

Niko poanimeamka salama shemela sijui ww
Avatar ya Leehahahh kwa nini
Ukiona hivyo yupo njiani anarudiavatar ya lee shemela nimemmiss tu huyu mtu
Kuna tetesi huyu Mzee walimuhasi alipokuwa Uingereza.![]()
![]()
![]()
Alifariki November 25 1997 huko Johannesburg Afrika Kusini
Huko Malawi kuna akina Banda wengi balaa jina limebanda hadi Bongo
.
.
Ahsante kwa historia
.......
Niliona aiseeipo siku yao jana kuna maneno aliongea lowassa walivyokataliwa kwenye ukumbi kufanya kongamano kwenye taarifa ya habari ya saa 2