*Muhindi 1 alibadili dini na mchungaji akamwambia kila unapokula usisahau kusali sala ya baba yetu, la sivyo utakua unakula na shetani. Basi yule muhindi kuna kipindi alisahau kusali kwa miezi miwili , SHETANI akamfuata Mchungaji akamwambia mkumbushe muhindi Kusali maana ataniuwa kwa pili pili!
*