Makapuku Forum

Makapuku Forum

Samtaimu uwe unaangalia ukubwa wa kosa km limepoyeza mantiki ya kilichoandikwa
Mimi niliandika Nollywood ila simu iliyobadili N ikawa B hivyo Ikasomeka Bollywood na sikuona
Ila kila mtu anajua Nigeria ni Bollywood
Unaweza uksandika "uwe" lakini simu ikabadili na kuwa "use"
Tushupalie makosa makubwamakubwa yenye umuhimu na sio vitu vidogodogo
Tukutane kesho
Usiku Mwema
.............
Mh
 
Samtaimu uwe unaangalia ukubwa wa kosa km limepoteza mantiki ya kilichoandikwa/kusudiwa
Mimi niliandika Nollywood ila simu ilibadili N ikawa B hivyo Ikasomeka Bollywood na sikuona
Ila kila mtu anajua Nigeria ni Bollywood
Unaweza uksandika "uwe" lakini simu ikabadili na kuwa "use"
Tushupalie makosa makubwamakubwa yenye umuhimu na sio vitu vidogodogo
Tukutane kesho
Usiku Mwema
.............
Umesomeka

Chelsea bingwa

Ajax bingwa ajaye wa euro

Arsenal bingwa ajaye wa FA

Real Madrid bingwa ajaye wa UCL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom