shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nenda ukawabanieyanga hainihusu
Nenda ukawabanieyanga hainihusu
Yapsawa kama ww vile
Nilikuwa naangalia mpira, umeisha naitafuta kibaha sasa


chelsea vipi
hahah shemela hapendi mada za kutamanisha yan ujue anakasirika kweliAnapenda huyo, sema tu hawezi kukuambia
Tangu nimekunywa wineww huyo ushalipuka
saa 2,nusu glass
kama namuona kante wanguWest brom 0 Chelsea 1
Mimi mwenyewe jana avatar yako ilikuwa ndio avatar yangu, usiku kama hiviyapo kwake tu
Kashinda 1chelsea vipi
Mmh halaf unapenda wineTangu nimekunywa winesaa 2,nusu glass
AiseeMimi mwenyewe jana avatar yako ilikuwa ndio avatar yangu, usiku kama hivi
Ndiyo kinywaji changuMmh halaf unapenda wine
haunywi zaidi ya wine unapendelea wine ganiNdiyo kinywaji changu
Nikienda Dom nitakuletea ile ya kiwandani, au hutumiiMmh halaf unapenda wine
Asante nitashkuru mm sio mpnz sana wine huwa mara moja sanaNikienda Dom nitakuletea ile ya kiwandani, au hutumii
Dompo na dodoma winehaunywi zaidi ya wine unapendelea wine gani
sweet (red wine
)
MhSamtaimu uwe unaangalia ukubwa wa kosa km limepoyeza mantiki ya kilichoandikwa
Mimi niliandika Nollywood ila simu iliyobadili N ikawa B hivyo Ikasomeka Bollywood na sikuona
Ila kila mtu anajua Nigeria ni Bollywood
Unaweza uksandika "uwe" lakini simu ikabadili na kuwa "use"
Tushupalie makosa makubwamakubwa yenye umuhimu na sio vitu vidogodogo
Tukutane kesho
Usiku Mwema
.............
Dompo wine ya leeDompo na dodoma winesweet
Vipi tena
UmesomekaSamtaimu uwe unaangalia ukubwa wa kosa km limepoteza mantiki ya kilichoandikwa/kusudiwa
Mimi niliandika Nollywood ila simu ilibadili N ikawa B hivyo Ikasomeka Bollywood na sikuona
Ila kila mtu anajua Nigeria ni Bollywood
Unaweza uksandika "uwe" lakini simu ikabadili na kuwa "use"
Tushupalie makosa makubwamakubwa yenye umuhimu na sio vitu vidogodogo
Tukutane kesho
Usiku Mwema
.............