Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usimtese basi binti wa watu mpende haswa kama shemela shululu anavyompenda tumosa au mukongo anavyompenda mama mchuchu au lee anavyompenda shunii
 
Afu sijui kwanini kila nikipiga ramli zangu naambiwa wewe ndo ulinizibia kwa BH, au nazipiga nimelewa? maana mganga wangu masharti yake niende na bia za kopo na mishikaki , eti tuwaite wazee.

Anyway, ngoja basi tukae kimkakati saa tumpe Husna
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…