....najua wewe unanijua aunt yangu ila wengine wakiona natupia nyimbo za 80s wanadhani mimi ni Kitime kumbe kijana kabisa sema nina mambo ya kizee😀, kijana mzee.
Atakula good muziki hadi anenepe maana wengine maumbo ya mamiss world tunahisi tunadhulumu nafsi cc SHIMBA YA BUYENZE
Afu sijui kwanini kila nikipiga ramli zangu naambiwa wewe ndo ulinizibia kwa BH, au nazipiga nimelewa? maana mganga wangu masharti yake niende na bia za kopo na mishikaki , eti tuwaite wazee.
Anyway, ngoja basi tukae kimkakati saa tumpe Husna