1 WATHESALONIKE 5
16. Furahini siku zote.
17.Ombeni bila kukoma .
18.Shukuruni kwa kila jambo;maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Yesu Kristo.
19.Msimzimishe Roho.
20. Msitweze unabii.
21.Jaribuni mambo yote ;lishikeni lililo jema.
22.Jitengeni na ubaya wa kila namna.