Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahahahahaha yupo kaka ake, Sema tu kimya kimya
Dah i wish ningeshuhudia hiyo ligi ilivyo anza maana nimeshuudia kidogo ya sizzya007 ilivyokuwa mpaka leo haonekan kijiweni na akija ni kwa machale kali ni ya mtumish jambilo ulimpa za chembe mpaka leo yuko hoi kalazwa hata kikiwen haonekan tena na sijui kwa nini ukiwazibua zibua wanakacha kistone..
 
Dah i wish ningeshuhudia hiyo ligi ilivyo anza maana nimeshuudia kidogo ya sizzya007 ilivyokuwa mpaka leo haonekan kijiweni na akija ni kwa machale kali ni ya mtumish jambilo ulimpa za chembe mpaka leo yuko hoi kalazwa hata kikiwen haonekan tena na sijui kwa nini ukiwazibua zibua wanakacha kistone..
Sizzya007 yupo tu ila leo amesema anaumwa, Jambilo alistahili kukataliwa maana dhambi ya kutembea na pastor nisingetaka hata kuikaribia, pia mi na mama Mchungaji Patience123 tunaheshimiana sana hivyo siwezi kumsaliti
 
Sizzya007 yupo tu ila leo amesema anaumwa, Jambilo alistahili kukataliwa maana dhambi ya kutembea na pastor nisingetaka hata kuikaribia, pia mi na mama Mchungaji Patience123 tunaheshimiana sana hivyo siwezi kumsaliti
Halafu Pastor jambilo mtata sana baada ya kupigwa za chembe za kutosha...akasema kwanza mimi nilikuwa natania tu ..nilikuwa siko seriuos nilicheka sana nikajiuliza ingekuwaje wakati ya jaribio lake hilo ukasema na mim nakupenda Pastor..?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom