Makapuku Forum

Makapuku Forum

9/Diasdado Cabello
be7f71f0f51b445e06596b5eb62feb45.jpg
Huyu bwana alionja Urais wa Venezuela kwa muda wa siku moja pekee baada ya Rais kujiuzulu kufuatiia kuonekana anasapoti ubepari
Hivyo Cabello akachukua madaraka kisha akamchagua Hugo Chavez kuwa Makamu wake halafu yeye mwenyewe akajiuzulu na Chavez kuwa Rais...mchezo ndo ulivyochezwa
Yaani kautumikia urais kwa muda wa siku moja pekee
..........
 
8/Ratu Tevita Momoedomu
0e301dcb2e9e11bb0ee8913abdf25488.jpg

Huyu jamaa alikuwa Waziri mkuu wa Fiji katika muhula/vipindi viwili vifupifupi kama stuli za Manzese..
Mwaka 2000 alikaa madarakani kwa masaa mawili pekee wakati mwaka 2001 alikaa madarakani kwa siku mbili
Mwaka 2000 yalitokea mapinduzi/maasi ambapo yeye pekee akajikuta ndo amebaki kwenye jengo la serikali hivyo kuwa kiongozi kama ngekewa vile halafu mwaka 2001 akachaguliwa tena baada ya kuachia madaraka ili kukidhi matakwa ta kikatiba
............
 
10/Sultan Khalid Bin Bargash
713afc3eddd2e862ca06e9ad8344a7a4.jpg

Huyu alikuwa Sultani wa Zanzibar mnamo mwaka 1869 baada ya kifo cha binamu yake lakini akaonja madaraka kwa siku mbili tu
Waingereza baada ya kusikia Bargash kawa kiongozi wa Zanzibar walimpa masaa 24 aachie madaraka kwa hiyari yake lakini akawagomea na kupelekea baada ya siku moja kupita Waingereza watume meli zao za kivita na wanajeshi
Hapo ndo ikazaliwa vita iliyojulikana kama Anglo Zanzibar War ambayo ilidumu kwa muda wa dk 38 pekee iliyoisha August 27 1869 na kuwa miongoni mwa vita fupi zaidi kupiganwa duniani
Wakati wa vita hiyo Wazanzibar waliokufa na kujeruhiwa ni 500 wakati Mwingereza aliyeumia ni mmoja pekee, boti mbili zilizama
Hivyo jamaa alitawala kwa siku 2 tu
.........
Aisee siku mbili tu
 
9/Diasdado Cabello
be7f71f0f51b445e06596b5eb62feb45.jpg
Huyu bwana alionja Urais wa Venezuela kwa muda wa siku moja pekee baada ya Rais kujiuzulu kufuatiia kuonekana anasapoti ubepari
Hivyo Cabello akachukua madaraka kisha akamchagua Hugo Chavez kuwa Makamu wake halafu yeye mwenyewe akajiuzulu na Chavez kuwa Rais...mchezo ndo ulivyochezwa
Yaani kautumikia urais kwa muda wa siku moja pekee
..........
Khaaa
 
7/Roger LaFontant
ed9ebc9d1e64cb67532771fa8c7cf71e.jpg

Huyu alikuwa kiongozi wa kijeshi huko Haiti ambapo mwaka 1991 alikuwa Rais kwa masaa 24 tu
Rais alijiuzulu hivyo Katiba ya nchi hiyo kumpa madaraka Jaji Mkuu Estha Pascal Trouillot ambaye aliitisha Uchaguzi wa kidemokrasia lakini Fountant akatumia fursa hiyo kufanya mapinduzi na kujitangazia Urais lakini ghafla bin vuuuu wajanja zaidi yake wajampindua ndani ya masaa 24 tu yaani wakati anaamka tu huko Ikulu hata swimming pool hakugusa!!
...........
 
7/Roger LaFontant
ed9ebc9d1e64cb67532771fa8c7cf71e.jpg

Huyu alikuwa kiongozi wa kijeshi huko Haiti ambapo mwaka 1991 alikuwa Rais kwa masaa 24 tu
Rais alijiuzulu hivyo Katiba ya nchi hiyo kumpa madaraka Jaji Mkuu Estha Pascal Trouillot ambaye aliitisha Uchaguzi wa kidemokrasia lakini Fountant akatumia fursa hiyo kufanya mapinduzi na kujitangazia Urais lakini ghafla bin vuuuu wajanja zaidi yake wajampindua ndani ya masaa 24 tu yaani wakati anaamka tu huko Ikulu hata swimming pool hakugusa!!
...........
hahahhh
 
8/Ratu Tevita Momoedomu
0e301dcb2e9e11bb0ee8913abdf25488.jpg

Huyu jamaa alikuwa Waziri mkuu wa Fiji katika muhula/vipindi viwili vifupifupi kama stuli za Manzese..
Mwaka 2000 alikaa madarakani kwa masaa mawili pekee wakati mwaka 2001 alikaa madarakani kwa siku mbili
Mwaka 2000 yalitokea mapinduzi/maasi ambapo yeye pekee akajikuta ndo amebaki kwenye jengo la serikali hivyo kuwa kiongozi kama ngekewa vile halafu mwaka 2001 akachaguliwa tena baada ya kuachia madaraka ili kukidhi matakwa ta kikatiba
............
Aisee
 
6/Joseph Goebbels
2fc5ffb62bc836b7695c1d273a4b04d6.jpg
8f933951b27496c4eaeb71c3b42b0cc5.jpg
Huyu alikuwa Kansela wa Ujerumani kwa muda wa masaa 5 pekee mwaka 1945 May 1
Wakati Vita Kuu ya Pili ikiendelea na Adolf Hitler kuonekana kuzidiwa akaamua kumteua swahiba wake Goebbels kuwa Kansela akiamini ni Waziri wa Propaganda ndo pekee anayeweza kumuokoa lakini hata kabla hawajaanza propaganda zao wakagundua wamezingirwa hivyo kuamua kujiua
Jamaa kaonja ukansela masaa yasiyozidi Matano pekee
........
 
5/Boris Yeltsin
ecace9321b02e553fc75758354aa19c2.jpg

Huyu mzee alijiteua mwenyewe kuwa Waziri mkuu wa Urusi mwaka 1998
Hii ilikuwa wakati yeye akiwa Rais na mgogoro wa kisiasa ukiwa umepamba moto hivyo akaamua kumpunguzia majukumu Waziri Mkuu kwa kujiteua yeye mwenyewe
Baada ya kukosolewa vikali na wananchi wake na wapinzani akaamua fasta kuachia huo Uwaziri na kumteua mtu mwingine
Yaani ndani ya masaa manne tu...kukurupuka ni kubaya!!!
.........
 
5/Boris Yeltsin
ecace9321b02e553fc75758354aa19c2.jpg

Huyu mzee alijiteua mwenyewe kuwa Waziri mkuu wa Urusi mwaka 1998
Hii ilikuwa wakati yeye akiwa Rais na mgogoro wa kisiasa ukiwa umepamba moto hivyo akaamua kumpunguzia majukumu Waziri Mkuu kwa kujiteua yeye mwenyewe
Baada ya kukosolewa vikali na wananchi wake na wapinzani akaamua fasta kuachia huo Uwaziri na kumteua mtu mwingine
Yaani ndani ya masaa manne tu...kukurupuka ni kubaya!!!
.........
hahaha...h ata sura yake ipo kama aliyekurupuka
 
4/Skender Gjinushi
51723b7774b7ed774cd1572c12ca61f6.jpg

Huyu alionja Urais wa nchi ya Albania kwa muda machache kama masaa mawili au manne tu
Ilimuwa mwaka 1997 baada ya uongozi wa kibepari wa Sali Berisha kushindwa uchaguzi wa kidemokrasia halafu kukataa kuachia madaraka hivyo Spika Slender akaamua kuchukua madaraka kwa mujibu wa katiba kuwa Rais wa mpito
Kisha Bunge la Albania likaamua kumtangaza mshindi halali wa Uchaguzi Mkuu Rexhep Meidani kuwa Rais mpya wa Albania
Hii ilifanyika ndani ya masaa manne pekee
.......
 
6/Joseph Goebbels
2fc5ffb62bc836b7695c1d273a4b04d6.jpg
8f933951b27496c4eaeb71c3b42b0cc5.jpg
Huyu alikuwa Kansela wa Ujerumani kwa muda wa masaa 5 pekee mwaka 1945 May 1
Wakati Vita Kuu ya Pili ikiendelea na Adolf Hitler kuonekana kuzidiwa akaamua kumteua swahiba wake Goebbels kuwa Kansela akiamini ni Waziri wa Propaganda ndo pekee anayeweza kumuokoa lakini hata kabla hawajaanza propaganda zao wakagundua wamezingirwa hivyo kuamua kujiua
Jamaa kaonja ukansela masaa yasiyozidi Matano pekee
........
hahahaha aisee hatar thana
 
6/Joseph Goebbels
2fc5ffb62bc836b7695c1d273a4b04d6.jpg
8f933951b27496c4eaeb71c3b42b0cc5.jpg
Huyu alikuwa Kansela wa Ujerumani kwa muda wa masaa 5 pekee mwaka 1945 May 1
Wakati Vita Kuu ya Pili ikiendelea na Adolf Hitler kuonekana kuzidiwa akaamua kumteua swahiba wake Goebbels kuwa Kansela akiamini ni Waziri wa Propaganda ndo pekee anayeweza kumuokoa lakini hata kabla hawajaanza propaganda zao wakagundua wamezingirwa hivyo kuamua kujiua
Jamaa kaonja ukansela masaa yasiyozidi Matano pekee
........
Aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom