Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
9/Diasdado Cabello
Huyu bwana alionja Urais wa Venezuela kwa muda wa siku moja pekee baada ya Rais kujiuzulu kufuatiia kuonekana anasapoti ubepari
Hivyo Cabello akachukua madaraka kisha akamchagua Hugo Chavez kuwa Makamu wake halafu yeye mwenyewe akajiuzulu na Chavez kuwa Rais...mchezo ndo ulivyochezwa
Yaani kautumikia urais kwa muda wa siku moja pekee
..........
Hivyo Cabello akachukua madaraka kisha akamchagua Hugo Chavez kuwa Makamu wake halafu yeye mwenyewe akajiuzulu na Chavez kuwa Rais...mchezo ndo ulivyochezwa
Yaani kautumikia urais kwa muda wa siku moja pekee
..........