That is sensibleHaya mama. Na samahani kama umeghafirika. Nothing serious. Ni utani tu na kupunguza stress kama ilivyo kawaida yetu. Uwe kibonge/kimbaumbau, mweupe/mweusi, mrefu/ mfupi, msambwanda/pasi, unaweza hata usiwe mwanamke...yote is non of my business. We still cool?
Hana sababu ya kuzikataa... Wana kosa gani? Kazi kwetu sisiSiku tano za sadness Mwenyezi Mungu azipokee roho za hawa watoto
una utani wa kweli we mkolomijeHaya mama. Na samahani kama umeghafirika. Nothing serious. Ni utani tu na kupunguza stress kama ilivyo kawaida yetu. Uwe kibonge/kimbaumbau, mweupe/mweusi, mrefu/ mfupi, msambwanda/pasi, unaweza hata usiwe mwanamke...yote is non of my business. We still cool?
Hahaha, sikuwahi kujua.
Wooooooorah!!!![]()
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️

Asante sana. Be blessed tena na tena....

Leta mamboTOP TEN
John F Kennedy anafahamika kama miongoni mwa Marais wa Marekani waliokaa madarakani muda mchache zaidi
.
Sasa leo tunawajadili viongozi waliokaa madarakani(walioyatumokia madaraka) kwa muda mchache zaidi
Kati yao hakuna aliyefikisha hata kawiki pamoja akiyatumikia hayo madaraka aliyoyapata/pesa
Karibuni
..........