mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Watu wakiziwazogome wateule wake alikuwa akiwaambia 'mna wivu wa kijinga'namkumbuka alifanya nini
Watu wakiziwazogome wateule wake alikuwa akiwaambia 'mna wivu wa kijinga'namkumbuka alifanya nini
sawa amini hivyo hivyoUlishasema we ni kibonge, halafu mweupe. Case closed!
OoohWatu wakiziwazogome wateule wake alikuwa akiwaambia 'mna wivu wa kijinga'
Nakuaminia....... Leeeeeeeee where are youuuuuu? Shunie is getting cold.najua usijal uwe na amani
Ulidanganya? We mwongo? Maweeeee!!!sawa amini hivyo hivyo
Sikumbuki ni wapi niliongea hivyo mm ni mweupe mm ni kibonge hapana aisee sio mmUlidanganya? We mwongo? Maweeeee!!!
si mchezo![]()
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
Kasome comments zako kwenye uzi huu kule MMUSikumbuki ni wapi niliongea hivyo mm ni mweupe mm ni kibonge hapana aisee sio mm




watu wanamchukulia mtu vile anavyo'actsio wa mchezo mchezo wapi watu wanapenda avatar fake au mwandiko wa mtu ndio nini anajua mm nafananaje
Mambo ya weupe sijaongea nilimjibu mtu alivyouliza mm kibonge nikamjibu ndio ni kibonge tufunge hii madaKasome comments zako kwenye uzi huu kule MMU![]()
nilitaka nimuweke kwa shemela wangu shululu atulie ale maisha bila stress lkn kaamua kwenda kwa mondray sisi tupo akichoka atatuambia

Hahahaa...nilitaka nimuweke kwa shemela wangu shululu atulie ale maisha bila stress lkn kaamua kwenda kwa mondray sisi tupo akichoka atatuambia
Haya mama. Na samahani kama umeghafirika. Nothing serious. Ni utani tu na kupunguza stress kama ilivyo kawaida yetu. Uwe kibonge/kimbaumbau, mweupe/mweusi, mrefu/ mfupi, msambwanda/pasi, unaweza hata usiwe mwanamke...yote is non of my business. We still cool?Mambo ya weupe sijaongea nilimjibu mtu alivyouliza mm kibonge nikamjibu ndio ni kibonge tufunge hii mada
uwe na amani zote msukuma siwezi kasirikaHaya mama. Na samahani kama umeghafirika. Nothing serious. Ni utani tu na kupunguza stress kama ilivyo kawaida yetu. Uwe kibonge/kimbaumbau, mweupe/mweusi, mrefu/ mfupi, msambwanda/pasi.... is non of my business. We still cool?
umenipata husna hapo hutasikia makelele sijui baby wa nan n ww peke ako tu
lkn wenye baby wao wametokea kwenye thread ya husnaHahahaa...
Naona mondray anatafutwa na Husna..
Kuna thread kabisa inaitwa mondray
Asante sana. Be blessed tena na tena....uwe na amani zote msukuma siwezi kasirika
Lohumenipata husna hapo hutasikia makelele sijui baby wa nan n ww peke ako tu