Makapuku Forum

Makapuku Forum

nani anaangalia mechi ya roma na ac millan?
3745622ea485d9a4a8e61c33edc21e69.jpg

Updates
 
Habari makapuku wenzangu! najua mmeshinda salama kabisa na tunajiandaa na wiki ya kazi tu ambayo kiukwli kwa mapenzi ya Mungu imetawaliwa na kilio kikubwa kwetu kama taifa kwa kupoteza nguvu kazi muhimu.

Mungu awasaidie wafiwa wote na zaidi atusaidie kama taifa tunapoomboleza msiba huu mzito.

Well, mjomba lee empire karudi kwa muda na kama alivyoahidi kwa ombi langu kaniletea simu ya tachi, tachiskrini na kilichonifanya nisipost chochote ilibidi nikimbie pale DIT kujifunza namna nzuri ya kuitumia na kwa kuanza nilitumia wi-fi yao. Sasa tutakuwa sambamba wadau, kwanza saa then tachi, what a blessing🙂.
bhinamu obe

heshima yako najua umepata shida sana kujifunza kutumia tachiiskiriiiniii make nilikuwaa naona sms sizielewii zinajituma na watsap nimeona umejiunga mpaka twitter ongeraa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom