Makapuku Forum

Makapuku Forum

Habari makapuku wenzangu! najua mmeshinda salama kabisa na tunajiandaa na wiki ya kazi tu ambayo kiukwli kwa mapenzi ya Mungu imetawaliwa na kilio kikubwa kwetu kama taifa kwa kupoteza nguvu kazi muhimu.

Mungu awasaidie wafiwa wote na zaidi atusaidie kama taifa tunapoomboleza msiba huu mzito.

Well, mjomba lee empire karudi kwa muda na kama alivyoahidi kwa ombi langu kaniletea simu ya tachi, tachiskrini na kilichonifanya nisipost chochote ilibidi nikimbie pale DIT kujifunza namna nzuri ya kuitumia na kwa kuanza nilitumia wi-fi yao. Sasa tutakuwa sambamba wadau, kwanza saa then tachi, what a blessing🙂.
 
Habari makapuku wenzangu! najua mmeshinda salama kabisa na tunajiandaa na wiki ya kazi tu ambayo kiukwli kwa mapenzi ya Mungu imetawaliwa na kilio kikubwa kwetu kama taifa kwa kupoteza nguvu kazi muhimu.

Mungu awasaidie wafiwa wote na zaidi atusaidie kama taifa tunapoomboleza msiba huu mzito.

Well, mjomba lee empire karudi kwa muda na kama alivyoahidi kwa ombi langu kaniletea simu ya tachi, tachiskrini na kilichonifanya nisipost chochote ilibidi nikimbie pale DIT kujifunza namna nzuri ya kuitumia na kwa kuanza nilitumia wi-fi yao. Sasa tutakuwa sambamba wadau, kwanza saa then tachi, what a blessing🙂.
Mkuu hii wiki ya kesho ni nzito sana ila Mungu atutie nguvu
 
Nashindwa niandike nini kuhusu msiba mkubwa uliotokea huko Karatu, kila ninapotaka kuandika ninafuta, macho yanalengwa na machozi na kuvifanya vidole visitii ninachotaka kuandika. Ni huzuni kubwa kwa wazazi, walezi, familia, shule na Taifa kwa ujumla.

Wakati tunajiandaa kuwapumzisha wanafunzi, walimu nawatumishi wa basi lililowabeba, tuburudike na wimbo huu wa tenzi za rohoni 'Karibu na Wewe' au kwa kiinglish 'Nearer My God to Thee'.

Wimbo huu ulipigwa na bendi iliyokuwa ikitumbuiza katika meli ya Titanic hata wakati inazama kabisa. wapigaji wa vyombo waliendelea kupiga hata pale maji yalipokuwa yamewafikia shingoni..

Nitaziweka kadhaa ambazo nimepata link ya YouTube.

Msiba huu ni wetu wote, tunaumia na hasa ukizingatia wapo wana JF kama PakaJimmy BlessedHope ambao wamepoteza watotot wao wa karibu na wengine wengi ambao msiba huu umetugusa kwa namna tofauti





 
Habari makapuku wenzangu! najua mmeshinda salama kabisa na tunajiandaa na wiki ya kazi tu ambayo kiukwli kwa mapenzi ya Mungu imetawaliwa na kilio kikubwa kwetu kama taifa kwa kupoteza nguvu kazi muhimu.

Mungu awasaidie wafiwa wote na zaidi atusaidie kama taifa tunapoomboleza msiba huu mzito.

Well, mjomba lee empire karudi kwa muda na kama alivyoahidi kwa ombi langu kaniletea simu ya tachi, tachiskrini na kilichonifanya nisipost chochote ilibidi nikimbie pale DIT kujifunza namna nzuri ya kuitumia na kwa kuanza nilitumia wi-fi yao. Sasa tutakuwa sambamba wadau, kwanza saa then tachi, what a blessing🙂.
It's a miracle
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom