shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
jamaan ni ile thread![]()
kufuta haiwezekani mpk mods nimewapm hawajajibu

jamaan ni ile thread![]()
kufuta haiwezekani mpk mods nimewapm hawajajibu

WoyoyooooooooooooShunie...
Tupumzike shemeji yangu..bora kufungwa na watford kuliko arsenal
Amewapiga pinDuuh xhaka ni sumu kwa man u
moja ya hatari sanaKuzigia sio shemelasasa hivi nimehamia upande wa baby kwa mda
Nani huyo tenahuko chit chat kaandika thread kuhusu mm
Nawe pia shemela uwe na usiku mwemausiku mwema jaman mlale unono mlindwe kwa damu ya Yesumama mchuchu Mungu azidi kukuponya kesho uamke vizuri mama angu
lee wangu nakupenda we peke ako baby wangu ulale salamaunijie ndotoni
PoyeGuy's am back
All the time God is good
Habari makapuku wenzangu! najua mmeshinda salama kabisa na tunajiandaa na wiki ya kazi tu ambayo kiukwli kwa mapenzi ya Mungu imetawaliwa na kilio kikubwa kwetu kama taifa kwa kupoteza nguvu kazi muhimu.
Mungu awasaidie wafiwa wote na zaidi atusaidie kama taifa tunapoomboleza msiba huu mzito.
Well, mjomba lee empire karudi kwa muda na kama alivyoahidi kwa ombi langu kaniletea simu ya tachi, tachiskrini na kilichonifanya nisipost chochote ilibidi nikimbie pale DIT kujifunza namna nzuri ya kuitumia na kwa kuanza nilitumia wi-fi yao. Sasa tutakuwa sambamba wadau, kwanza saa then tachi, what a blessing🙂.

Wamefanyaje sasa
Sawaahahah si huku kwetu ni mtakufa![]()
![]()
![]()
![]()
Sawamlinzi
Poa kaka afandeswalama sana mkuu
Sawa mkuu ndo maana nilikwambia kwa lugha ya kwetuNi vizuri ufanye utafiti wa kibantu ili upate maana yake na kwa lugha nyingine.
Kwa lugha yangu ina maana nyingine ambayo inanitambulisha kwa hii ID
Mkuu hii wiki ya kesho ni nzito sana ila Mungu atutie nguvuHabari makapuku wenzangu! najua mmeshinda salama kabisa na tunajiandaa na wiki ya kazi tu ambayo kiukwli kwa mapenzi ya Mungu imetawaliwa na kilio kikubwa kwetu kama taifa kwa kupoteza nguvu kazi muhimu.
Mungu awasaidie wafiwa wote na zaidi atusaidie kama taifa tunapoomboleza msiba huu mzito.
Well, mjomba lee empire karudi kwa muda na kama alivyoahidi kwa ombi langu kaniletea simu ya tachi, tachiskrini na kilichonifanya nisipost chochote ilibidi nikimbie pale DIT kujifunza namna nzuri ya kuitumia na kwa kuanza nilitumia wi-fi yao. Sasa tutakuwa sambamba wadau, kwanza saa then tachi, what a blessing🙂.
Mi nimeona kuwa washabiki wa man u wa hasira maana nilisikia matusi mazito toka kwa washabiki wa man u lakini akaibuka mshabiki mmoja akasema xhaka ameuaaaAmewapiga pinmoja ya hatari sana
KwemaKwema wakuu
It's a miracleHabari makapuku wenzangu! najua mmeshinda salama kabisa na tunajiandaa na wiki ya kazi tu ambayo kiukwli kwa mapenzi ya Mungu imetawaliwa na kilio kikubwa kwetu kama taifa kwa kupoteza nguvu kazi muhimu.
Mungu awasaidie wafiwa wote na zaidi atusaidie kama taifa tunapoomboleza msiba huu mzito.
Well, mjomba lee empire karudi kwa muda na kama alivyoahidi kwa ombi langu kaniletea simu ya tachi, tachiskrini na kilichonifanya nisipost chochote ilibidi nikimbie pale DIT kujifunza namna nzuri ya kuitumia na kwa kuanza nilitumia wi-fi yao. Sasa tutakuwa sambamba wadau, kwanza saa then tachi, what a blessing🙂.
Bombardier kaizidi kasi BoeingPoye