Wazungu huwa wanapenda kufanya vitu vya tofauti sana. Sasa jiulize akina Mangi wapo hapohapo Moshi lakini hawajawahi kufika hata geti la mlima kilimanjaro kama lile la Marangu.
DSTV wanyonyaji
Siku AzamTv akiabza kuonesha EPL km La Liga na hata iwe buku 50 kwa mwezi ndo utakuwa Mwisho wao
EPL ndo bidhaa inayowabeba
Mi La Liga naangaliaga mara chache tu hata jana nimeikaushia maana kila siku watu wanapigwa 6,4 mara 5
Hata kupaki basi hawawezi?
........