2000 - Vladimir Putin anaapishwa kama Rais wa Urusi.
Hii ndio ilikuwa mwanzo wa utawala wa muda mrefu wa Rais huyo wa Urusi kwa mihula mitatu tofauti huku akiwahi kushika wadhifa wa Waziri Mkuu mara moja.
Ni mmoja kati ya viongozi wachache waliobobea katika Ujasusi wa hali ya juu huku pia akiwa mtaalamu wa sanaa za mapigano.