Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Hata mm nimeachaHilo jina liache siku hizi sina harakati
Ni kaka mchungaji kwa sasa
Now
Hata mm nimeachaHilo jina liache siku hizi sina harakati
Ni kaka mchungaji kwa sasa
Now am so fineNjema umeamkaje pole,vipi afya yako Mungu akubariki
Amen karibuNow am so fine
Mungu ashukuriwe sana..
Marahaba pole,vipi hali yako Mungu aendelee kukuponya mwili na rohoShikamoo mama anguu..
Amen Mkuu Nyagei nipo hapa nasimamia matangazo haya kwa karibuuu,Mungu awabarikiKwa udhamini wa BlessedHope
Tupate ratiba za michezo ya leo
Belgium europa playoffs
![]()
Na VIRUS HAZINA TIBA

GoodSafi kabisaaa
Inakwenda vizurikulu asubuhi inakwendaje
Mshukuru MunguSafi kabisaaa
Pamoja sana mkuu shededemkuu shululu asante kwa magazeti ya asubuhi![]()
![]()
![]()
Morning mama mchungaji, uwe na jumamosi njemaMorning mkuu Shululu asante sana
Asante mama mchungaji nawe ubarikiwe piaAsante kwa magazeti mkuu Shululu ,asante kwa udhamini mkuu Bailly5 kazi yenu ni njema mbarikiwe,siku njema kwenu![]()
Unaogopa zile fineHata mm nimeacha
Now
Hilo usiulize, wakiwa wengi unaweza hata kufa aiseeasante magazeti
hivi mwanaume anabakwa vipi na mwanamke?? anapata wapi nguvu ya kusimamisha wakati huo wa kubakwa??