Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Poa mkuuNi kweli ngoja tusubiri
Poa mkuuNi kweli ngoja tusubiri
Eeh mimi!!!Wewe je

KweliPoleni sana ndugu na jamaa zetu walilo guswa na huo msiba wa ajali ya Karatu. Siku zote msiba huwa ni jambo gumu sana kukubalika kwetu sisi binadamu, hasa kama ni msiba unaokugusa muhusika moja kwa moja.
Tuzidi kumuomba Mungu atuhepushe na hivi vifo vya ghafla. Poleni sana sana.
Mungu azilaze roho za marehmu mahali pema peponi. Naamini kama Taifa tutakuwa tumepoteza viongozi na nguvu kazi ya ujenzi wa Taifa letu la kesho.
Swalamaahabar za muchana
Ko ko khoNipo kwa ajili yako mume wangu
Love you more hubby... Take care
hahah...h naona call me jay boy umegangamara kutetea kilimo (kiinua mgongo cha nchi)
sikatai kilimo ni kizur ila kwa mimi nilikikimbia huko kijijini![]()
![]()
![]()
mjini hakuna shamba utalima lami




yaan ww ni chizi
sugu jana alimwaga cheche
Khaaa ww ndio unaongea shededekuachika huwezi
mlinzi wangu kwenye ubora wakomkuu komaaa kumfatilia shunie![]()
![]()
![]()
![]()
good le bodyguard from iringahayakuhusu wewe achana na shunie utauliwa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
inasikitisha huyo baba aliyeuliwa uko rufiji
Santee shemela kwa magazeti barikiwa uko poa lknView attachment 505077kwa udhamini mnono wa Bailly5 sina la ziada kutoka magazeti ya leo tukutane tena kesho
mama mchuchu shikamoo mama anguAmen,uwe na siku njema Obe ubarikiwe
kuachika uwez mimi nikiwepo dr.lee anaanzaje kukuacha na mimi nikiwepo labda mimi sio mzee mkavuKhaaa ww ndio unaongea shedede
wachaI love too my utamuu...
Zaidi nimekumiss sana! Yaaani na hii baridi ....
Get back home sooon...
Nilindie huo moyo wangu
hahaha habar yako boss wangumlinzi wangu kwenye ubora wako
hao mabinti walichomfanyia huyo mlinzi n unyanyasaji wa jinsia wamemlazimisha awanyonye kila mmoja huku wanachukua videoasante magazeti
hivi mwanaume anabakwa vipi na mwanamke?? anapata wapi nguvu ya kusimamisha wakati huo wa kubakwa??