Makapuku Forum

I see
 
CHIMERA VIRUS
 
1/Tear Bomba
Hili Bomu ni noma ndo baba lao kwa silaha za maangamizi ya halaiki

Lilitengenezwa na Muungano wa Kisoviet ili kupambana na mkakati wa kinyuklia wa Marekani
Linaruka hadi maili 40 angani ambao ni urefu X 7 ya Mlima Everest
Lilishindikana kubebwa kwa ndege sababu ya ukubwa/uzito wake pia likirushwa kwa ndege uwezekano wa marubabi kupona Ni 50%
Hilo ndo bomu hatari zaidi la kinyuklia
Mwisho
......
 
Asante Bitoz kwa top 10 ubarikiwe sana
 
Asante mkuu kwa elimu ya silaha za maangamizi dhidi ya mwanadamu.
 
Asante sana mkuu Bitoz kwa habari ya top 10 ya silaha ubarikiwe
 
Duh!
 
Ni shida
 
Yote haya ni binadamu kumwangamiza binadamu mwenzie
 
Asante bitoz kwa top ten bora kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…