shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nitamtembelea siku moja ili nipate kitoeomama mchuchu kakubali wanakula
Nitamtembelea siku moja ili nipate kitoeomama mchuchu kakubali wanakula
Ipo full makeke aiseeshemela umenifanya nitafute bukedde kumbe ipo 1 & 2
Ungekuwa unajua kiganda ndio ungeifaidi sanashemela umenifanya nitafute bukedde kumbe ipo 1 & 2
Napenda sana uione shemelanini shemela jamaan au hutaki niione
hahaha acha tu shemela azam sio watu wazuriKumbe changa la macho
KhaaaaaNitamtembelea siku moja ili nipate kitoeo
hahah uefa wanaonyesha sasaIpo full makeke aisee
natumani nitaiona favorable yangu... AK47TOP TEN
Wakuu leo tuone zana/silaha kumi hatari zaidi kuwahi kutumia au kutengenezwa na binadamu duniani
Tutaanza kwanza na silaha chache zinazoweza kutumiwa na mwanajeshi mmoja mmoja zen zinafuata kubwakubwa
Karibuni
......
ndio sijui sasa shemelaUngekuwa unajua kiganda ndio ungeifaidi sana
aiseee10/Rocket Propelled Grenade(RPG)![]()
![]()
Hii ilitengenezwa maalumu kupambana na ndege zenye matenki na vifaa vingine
Ilitengenezqa wakati wa utawala wa kiNAZI huko Ujerumani
Ndo silaha hatari ya kuharibu matenki duniani
Pia ni silaha rahisi maana inabebeka tu began I...mwanajeshi mwenye mafunzo maalumu anaweza kutumia silaha hii rahisi kuharibu matenki ya mamilioni ya dola
Ilitumiwa pia na Viet Cong wakati wa Vita ya Vietnam na Mmarekani akaambulia aibu
Jeshi la Vietnam pia linawaogopa Mujahedeen maana wana ni hatari kwa vyombo km magari
........
Duh!yote ni binadamu10/Rocket Propelled Grenade(RPG)![]()
![]()
Hii ilitengenezwa maalumu kupambana na ndege zenye matenki na vifaa vingine
Ilitengenezqa wakati wa utawala wa kiNAZI huko Ujerumani
Ndo silaha hatari ya kuharibu matenki duniani
Pia ni silaha rahisi maana inabebeka tu began I...mwanajeshi mwenye mafunzo maalumu anaweza kutumia silaha hii rahisi kuharibu matenki ya mamilioni ya dola
Ilitumiwa pia na Viet Cong wakati wa Vita ya Vietnam na Mmarekani akaambulia aibu
Jeshi la Vietnam pia linawaogopa Mujahedeen maana wana ni hatari kwa vyombo km magari
........
NdioKhaaaaa
binamu jaman ndio mana mama mchuchu anasema hamuelewi kabisa anaomba Mungu ampe mwanga ili azidi kumuelewa
Binamu naomba picha ya saa
...okay, ngoja niiphotoe, then nikaprint afu niscan ndo niweke kwenye joystick halafu niisave kwenye computer. Si unajua natumia desktop kuingia humu JF na hasa huku Makapuku forum.
BTW, sikujua kama saa yangu ina alarm, ndo imenishtua leo nikajua spika za masjid kumbe alarm




binamu sitaki mm