Makapuku Forum

Makapuku Forum

Utani kando, kiukweli hii saa ni lazima muwe na wasiwasi, hebu fikiria saa yenyewe kukiwa na giza inatoa kimwanga fulani hivi amazing wala haka agonize , halafu si nilikwambia ni ya mshale na nakuongezea kingine, ina kiufungua, ukikivuta unarekebisha muda, ukikivuta kidogo tu ukarudisha nyuma, unarekebisha tarehe
Nimeipenda
 
Utani kando, kiukweli hii saa ni lazima muwe na wasiwasi, hebu fikiria saa yenyewe kukiwa na giza inatoa kimwanga fulani hivi amazing wala haka agonize , halafu si nilikwambia ni ya mshale na nakuongezea kingine, ina kiufungua, ukikivuta unarekebisha muda, ukikivuta kidogo tu ukarudisha nyuma, unarekebisha tarehe
ahhahhahah binamu ukiongea habari za saa unatufurahisha sana
 
hapa ndo namkumbuka lee empire , mjomba wangu huyu tungekaa bar kama kamati tujadili hili jambo maana kiukweli moyo umeumia sana. Lakini hakuna noma, roho yake ndo mwamuzi , kama kaoteshwa au hakuota basi nawatakia maisha mazuri.
Ila wakiachana kwa talaka anajua wapi pa kuja
hahaha binamu lee ana umuhimu mkubwa sana yaan namuombea arudi
 
3/[b[Malawi[/b]
f308c475fe6722271d158f935c9c4b4f.jpg
7561cef9b058cf6028fe85d29a7f1feb.jpg

Dini juu ni Ukristo ila kuna idadi ndogo pia ya Waislamu,Wayahudi,Wabaha na Narastafarah
99% ni watu wa dini ....sijui wanafanya kazi saa ngapi maana Malawi ni miongoni mwa nchi 10 maskini zaidi duniani
Hawa ndo wamewaambukiza ndugu zao Wanyakyusa tabia ya kushinda makanisani
....
Malawi wametisha
 
1/Niger
9e72ad0336cc872f0bce6bc608d2a62e.jpg
9cb47e6e3e40a959ba1322e173c0d88a.jpg
Taifa hili la Afrika Magharibi lina idadi kubwa ya Waislamu karibia 94% ya wananchi wote
Idadi kubwa Waislamu wa dhehebu la Sunna, kuna Wakristo kiduchu
Juzijuzi Rais wa Niger alilitangaza Taifa kuwa ni la Kiislamu Hivyo linaongozwa kwa kufuata misingi ya uislamu
Karibia 100% ni wafia dini sasa ole wako kipindi cha mfungo wa Ramadhani ukutwe unatafuna mahindi kitaani

Tukutane kesho
Mwisho
................
Asante bitoz kwa top ten
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom