Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Niger
9e72ad0336cc872f0bce6bc608d2a62e.jpg
9cb47e6e3e40a959ba1322e173c0d88a.jpg
Taifa hili la Afrika Magharibi lina idadi kubwa ya Waislamu karibia 94% ya wananchi wote
Idadi kubwa Waislamu wa dhehebu la Sunna, kuna Wakristo kiduchu
Juzijuzi Rais wa Niger alilitangaza Taifa hilo kuwa ni la Kiislamu Hivyo linaongozwa kwa kufuata misingi ya uislamu
Karibia 100% ni wafia dini sasa ole wako kipindi cha mfungo wa Ramadhani ukutwe unatafuna mahindi kitaani

Tukutane kesho
Mwisho
................
 
1/Niger
9e72ad0336cc872f0bce6bc608d2a62e.jpg
9cb47e6e3e40a959ba1322e173c0d88a.jpg
Taifa hili la Afrika Magharibi lina idadi kubwa ya Waislamu karibia 94% ya wananchi wote
Idadi kubwa Waislamu wa dhehebu la Sunna, kuna Wakristo kiduchu
Juzijuzi Rais wa Niger alilitangaza Taifa kuwa ni la Kiislamu Hivyo linaongozwa kwa kufuata misingi ya uislamu
Karibia 100% ni wafia dini

Tukutane kesho
Mwisho
................
shukrani Bitoz kwa top 10 asante sana
 
TOP TEN
wakuu leo kwa udhamini wa Mama Mchungaji nawaletea nchi kumi ambazo wananchi wake ni wacha Mungu
Saudi Arabia ibafahamika km nchi ta Kiislamu na kutumia sheria za Kiislamu(Sharia) lakini 10 bora pia Brazil inafahanika kwa kuwa na idadi kubwa ya Wakristo Wajatoliki lakini mayo haipo haipo maana sio kila anayeitwa Ally ni muislamu wa swala tano au John kila jumapili anaenda kanisani na kuamini Yesu ni mwokozi
Hapa tunaanhalia nchi ambazo wananchi wake ni wacha Mungu haswa
Karibuni
.........
Leta mambo
 
9/Georgia
e1b6b69a71511ac7a68284307f35a68f.jpg
fea7acead61919ca22510722627446b7.jpg
Benders yao tu ina Alana ya msalaba!!
83&% ni Wakristo Wa dhehebu la Orthodox,1% wanafuatisha dhehebu la Orthodox la Urusi 4% wabafuatisha dhehebu la Mitume ,waliobaki ndio Waislamu
93% ni washika dini na jumapili asubuhi kwao ni mwendo wa kanisani tu
.......
Wanaonekana tu
 
7/Armenia
3b473fe2f2722d7f4e6f93ea6bae4072.jpg
66b5337520effdafb2a16f176a5cb043.jpg

94% ya wananchi wote ni Wakristo wa dhehebu la kitume(Apostolic church}
Mnamo mwaka 301 AD Arnenia nilikuwa Taifa la kwanza kujitangaza kuwa Taifa la kikristo
93% ya wananchi wa Armenia ni watu wa dini
........
Kuna kipindi walikuja juu sana kwa Tanzania, walikuwa wanamwaga pesa na kujenga makanisa, baada ya wabongo kuwachakachua nao wakapotea
 
6/Thailand
5b85d03fc120b266b742aba8b304f68c.jpg
e0bc763610cfa9796e83b4836b2f12dd.jpg

95% ya Wathailand wanaabudu Ubudha(Buddhism) huku nguzo yao kuu ukiwa ni upendo,kujiongoza/kujitawala na kutofanya uovu
Watgaikabd wachache wanafuata Uhindu(Jindusm)
94% ya watu wa Thailand ni watu wa dini
........
Hii ndio dini bora kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom