BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Wapo hapo upanga Buthist Temple na Rev.Panassekara na wanajichanganya sana ni mtu makini sana na kuna waumini wengi.Wabudha nawapenda sana
Wapo hapo upanga Buthist Temple na Rev.Panassekara na wanajichanganya sana ni mtu makini sana na kuna waumini wengi.Wabudha nawapenda sana
Wa parokia ganiWakuu habari za muda,nimepewa salamu zenu kutoka kwa SAKAYO kaniambia anawapenda sana na amewamiss wadau
Transcend
Kaka Q
Nyagei
Mandali
Lee empire
Shunie
Mondray
Vale
musolini
Mlinzi wa shunie nae
Behaviorist
Bitoz
Werason
Shedede
Shululu
Mama mchungaji
Cley
Jovitha
Nyoka mzee
Ravy
Shimba buyenze
Na mwisho usijisahu mwenyewe Toxic9 aka baba paroko
mhPia hakuna kugongana
Asingekutaja ungesema umetengwa shemelamm huwa naonana nae sana baba paroko hata mda mfupi uliopita nilikua nae chit chat ila zimefika asante
Mmmh!!mama mchuchu binamu yangu namuonea huruma ujue
Haaaaahaaaa, utakuwa unaichunga sana, unaweza kupanda tax kisa saaUtani kando, kiukweli hii saa ni lazima muwe na wasiwasi, hebu fikiria saa yenyewe kukiwa na giza inatoa kimwanga fulani hivi amazing wala haka agonize , halafu si nilikwambia ni ya mshale na nakuongezea kingine, ina kiufungua, ukikivuta unarekebisha muda, ukikivuta kidogo tu ukarudisha nyuma, unarekebisha tarehe

Hata Tabora, Shinyanga, Mwanza na Kagera wapoMbeya kila baada ya km fulani Apostoic.mchungaji mheshimiwa Mwamfupe sijui wanaendeleaje kule kwa sasa
Haaaaahaaaa, utakuwa unaichunga sana, unaweza kupanda tax kisa saa![]()
![]()
Haaaaahaaaa Obe, ngoja shunie ajeUtanipa stroke ukianza kuiwazia saa yangu mambo ya namna hii. Hivi umeshindwa nini kuwaza tu kuwa mkanda wake wa gold niubadilishe niweke diamond.🙁
Ni kweli mama mchungajiHatujui kama aliiba kweli,Mungu ndie atamuhukumu ndugu yangu
Sijui moyo unaweza kurudi nyuma kidogoJamani,hili jambo !!!!
Binamu kumbe saa ni ya gold puree
Mimi mwenyewe nimecheka sanaahhahhahah binamu ukiongea habari za saa unatufurahisha sana
Sasa kumbeBinamu kumbe saa ni ya gold puree
Mmmmmh, ngoja nitunze comment yangu ili hata wafia dini wanione ni mwenzao, kugongana hakuna je wakigonganishwa?Pia hakuna kugongana
Masharti sasa, na hakika mama mchungaji hata wewe hutawezaWapo hapo upanga Buthist Temple na Rev.Panassekara na wanajichanganya sana ni mtu makini sana na kuna waumini wengi.
Kweli
Hatujui kama aliiba kweli,Mungu ndie atamuhukumu ndugu yangu
AiseeHa hahahahaha, uko sahihi, lazima niwe mkweli, hii saa si ya kupanda nayo bodaboda