Makapuku Forum

Makapuku Forum

aisee shikuba ameshapelekwa marekani
9ce3e52550f6aa14155fc39ab184d0ea.jpg
Naona wanakusanywa huko. Ngoja akakutane na magwiji wenzake akina El Chapo.

Kumbe ni rahisi tu kwa Mtanzania kuwa extradited kwenda Marekani kujibu mashtaka? Vice versa pia inawezekana?
 
dddde9aebd63a8e88de42cd1cfd095ad.jpg
Jamii yetu ni ya kushangaza sana. Ukiiba kuku unapigwa mawe mpaka kufa lakini ukifisadika na kuiba mamilioni/mabilioni ya shilingi unasifiwa kuwa we ni mtoto wa mjini. Mf. baada ya kutimuliwa uwaziri wa miundo mbinu baada ya ule ufisadi wa rada mzee wa vijisenti alipokelewa Usukumani kama shujaa. Na mafisadi waliogawana yale mamilioni "ya mboga" si wapo tu wanadunda mitaani. Lakini huyu masikini kaiba kuku kahitimishwa laivu. Mkanganyiko!
Nothing is worth life,na wauaji hawatakuwa na amani milele ndio kitu watu hawajui kuhusu kuchukua uhai wa mtu hata kama ni mhalifu
 
dddde9aebd63a8e88de42cd1cfd095ad.jpg
Jamii yetu ni ya kushangaza sana. Ukiiba kuku unapigwa mawe mpaka kufa lakini ukifisadika na kuiba mamilioni/mabilioni ya shilingi unasifiwa kuwa we ni mtoto wa mjini. Mf. baada ya kutimuliwa uwaziri wa miundo mbinu baada ya ule ufisadi wa rada mzee wa vijisenti alipokelewa Usukumani kama shujaa. Na mafisadi waliogawana yale mamilioni "ya mboga" si wapo tu wanadunda mitaani. Lakini huyu masikini kaiba kuku kahitimishwa laivu. Mkanganyiko!
RIP ndugu.
 
Lol! Kumbe aisee, kwa hiyo aliyenipiku ni mtu wa ibada au ndo kama mimi tu?
Afu umejuaje auntie au ndo umeshiriki kunichafulia CV? Ila nakuaminia huwezi niharibia.

Ngoja tusubiri kipindi cha pili😉
binamu naanzaje mm kukuchafulia cv tunavyokupenda ni mukongo ndio kakupiku binamu
 
Niliku/wamiss sana kikweli, no jokes. Nyie ni family for sure.

saa haiwezi kuibiwa labda wanikate mkono, mkanda wa saa ilibidi niubadili sasa una uwezo wa kuweka kijikufuri kidogo.

Hii habari mbaya , hebu tulia kwanza usinipe wakati una kimuhemuhe. Nitangulize pole kabla sijaisikia
hahahha shemela shululu ukuje usikie habari za saa tulikua tuna wasi wasi sana kuhusu saa

acha tu binamu kapuku n zaidi ya familia mwenyewe nikiwa sijalog in huwa nawamiss sana kapuku wote
 
Habari Makapuku wenzangu.
Nilipotea kidogo kufuatilia masuala ya kijamii zaidi, nipo na nimerudi na nguvu, ari na kasi ile ile ya zamani.

katika kijisegement hiki cha nyuzi aka gitaa katika muziki leo tuwaangalie magwiji wawili kwa mpigo, Carlos santana na george benson. hawa wote ni magwiji wa gitaa na carlos kwa mfano, ni mmoja kati ya wapiga gitaa maarufu duniani kwa sababu huwa anachanganya sty;le ya gitaa ya Kilatin, Afrika na America kwa pamoja.

Wote wana tuzoo 10 katika kazi zao za muziki ikiwemo tuzo za Grammy.

Hebu tuwaangalie hapa wakiperform wimbo wa George Benson 'Breezin'

Tukijaariwa tutamwangalia Vumbi Dekule Kahanga.




Nyagei najua unampenda Benson

Binamu mbona imekataa kuplay Carlos Santana mzee wa maria maria
 
dddde9aebd63a8e88de42cd1cfd095ad.jpg
Jamii yetu ni ya kushangaza sana. Ukiiba kuku unapigwa mawe mpaka kufa lakini ukifisadika na kuiba mamilioni/mabilioni ya shilingi unasifiwa kuwa we ni mtoto wa mjini. Mf. baada ya kutimuliwa uwaziri wa miundo mbinu baada ya ule ufisadi wa rada mzee wa vijisenti alipokelewa "Koromije" kama shujaa. Na mafisadi waliogawana yale mamilioni "ya mboga" si wapo tu wanadunda mitaani. Lakini huyu masikini kaiba kuku kahitimishwa laivu. Mkanganyiko!
inasikitisha sana
 
TOP TEN
wakuu leo kwa udhamini wa Mama Mchungaji nawaletea nchi kumi ambazo wananchi wake ni wacha Mungu
Saudi Arabia inafahamika km nchi ta Kiislamu na kutumia sheria za Kiislamu(Sharia) lakini 10 bora haipo pia Brazil inafahanika kwa kuwa na idadi kubwa ya Wakristo Wakatoliki lakini mayo haipo maana sio kila anayeitwa Ally ni muislamu wa swala tano au John kila jumapili anaenda kanisani na kuamini Yesu ni mwokozi
Hapa tunaanhalia nchi ambazo wananchi wake ni wacha Mungu haswa
Karibuni
.........
 
TOP TEN
wakuu leo kwa udhamini wa Mama Mchungaji nawaletea nchi kumi ambazo wananchi wake ni wacha Mungu
Saudi Arabia ibafahamika km nchi ta Kiislamu na kutumia sheria za Kiislamu(Sharia) lakini 10 bora pia Brazil inafahanika kwa kuwa na idadi kubwa ya Wakristo Wajatoliki lakini mayo haipo haipo maana sio kila anayeitwa Ally ni muislamu wa swala tano au John kila jumapili anaenda kanisani na kuamini Yesu ni mwokozi
Hapa tunaanhalia nchi ambazo wananchi wake ni wacha Mungu haswa
Karibuni
.........
Asante sana nipo hapa nasimamia udhamini wangu,asante kuniwazia mema ,kweli siku moja nitdhamini haya mambo yetu na mengine mengi ubarikiwe
 
10/Morocco
9810698c6da1e18b021462f6708e5e82.jpg
f795fa43f2a12e34e1df0a71ce5d74bc.jpg

98% ya Wamorocco ni Waislamu,Wakristo ni 1% huku 0.2% ni Wayahudi
93% ta wananchi wa Morocco wanaamini uwepo wa Mungu/Mola
Ni watu wa swala tano kila siku na hufunga kila mwezi mtukufu wa Ramadhani
........
 
TOP TEN
wakuu leo kwa udhamini wa Mama Mchungaji nawaletea nchi kumi ambazo wananchi wake ni wacha Mungu
Saudi Arabia ibafahamika km nchi ta Kiislamu na kutumia sheria za Kiislamu(Sharia) lakini 10 bora pia Brazil inafahanika kwa kuwa na idadi kubwa ya Wakristo Wajatoliki lakini mayo haipo haipo maana sio kila anayeitwa Ally ni muislamu wa swala tano au John kila jumapili anaenda kanisani na kuamini Yesu ni mwokozi
Hapa tunaanhalia nchi ambazo wananchi wake ni wacha Mungu haswa
Karibuni
.........
sante tupo tunasubili
 
Ndiyo hivyo dear ilinichuku mwaka kuweka aliyeniwekea yuko shule ,sasa leo wataalamu wamerekebisha hata sijui pa kuanzia
hahahaha mama angu nacheka kama mazuri nakupenda sana mama mchuchu unanifurahisha sana.

ndio mana kipindi flan watu mama mchuchu weka avatar masikini upo kimya kumbe hauwezi naomba nikuelekeze mama angu kama hautajali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom