Makapuku Forum

Makapuku Forum

9127871973558d14840e8b70652885df.jpg

Kuna mateja wa intranet
.
.
Tukutane baadaye kwenye 10 kubwa
..........
 
Binamu obeeeee we miss u, saa haijapotea kweli wakakuibia huko bakurutu yaan kuna habari mbaya binamu yangu hata sijui nitaanzia wapi kukwambia


Niliku/wamiss sana kikweli, no jokes. Nyie ni family for sure.

saa haiwezi kuibiwa labda wanikate mkono, mkanda wa saa ilibidi niubadili sasa una uwezo wa kuweka kijikufuri kidogo.

Hii habari mbaya , hebu tulia kwanza usinipe wakati una kimuhemuhe. Nitangulize pole kabla sijaisikia
 
Habari Makapuku wenzangu.
Nilipotea kidogo kufuatilia masuala ya kijamii zaidi, nipo na nimerudi na nguvu, ari na kasi ile ile ya zamani.

katika kijisegement hiki cha nyuzi aka gitaa katika muziki leo tuwaangalie magwiji wawili kwa mpigo, Carlos santana na george benson. hawa wote ni magwiji wa gitaa na carlos kwa mfano, ni mmoja kati ya wapiga gitaa maarufu duniani kwa sababu huwa anachanganya sty;le ya gitaa ya Kilatin, Afrika na America kwa pamoja.

Wote wana tuzoo 10 katika kazi zao za muziki ikiwemo tuzo za Grammy.

Hebu tuwaangalie hapa wakiperform wimbo wa George Benson 'Breezin'

Tukijaariwa tutamwangalia Vumbi Dekule Kahanga.




Nyagei najua unampenda Benson
 
Habari Makapuku wenzangu.
Nilipotea kidogo kufuatilia masuala ya kijamii zaidi, nipo na nimerudi na nguvu, ari na kasi ile ile ya zamani.

katika kijisegement hiki cha nyuzi aka gitaa katika muziki leo tuwaangalie magwiji wawili kwa mpigo, Carlos santana na george benson. hawa wote ni magwiji wa gitaa na carlos kwa mfano, ni mmoja kati ya wapiga gitaa maarufu duniani kwa sababu huwa anachanganya sty;le ya gitaa ya Kilatin, Afrika na America kwa pamoja.

Wote wana tuzoo 10 katika kazi zao za muziki ikiwemo tuzo za Grammy.

Hebu tuwaangalie hapa wakiperform wimbo wa George Benson 'Breezin'

Tukijaariwa tutamwangalia Vumbi Dekule Kahanga.




Nyagei najua unampenda Benson

Asante Obe
 
Niliku/wamiss sana kikweli, no jokes. Nyie ni family for sure.

saa haiwezi kuibiwa labda wanikate mkono, mkanda wa saa ilibidi niubadili sasa una uwezo wa kuweka kijikufuri kidogo.

Hii habari mbaya , hebu tulia kwanza usinipe wakati una kimuhemuhe. Nitangulize pole kabla sijaisikia
Mimi nilijua labda saa imeibiwa
 
dddde9aebd63a8e88de42cd1cfd095ad.jpg
Jamii yetu ni ya kushangaza sana. Ukiiba kuku unapigwa mawe mpaka kufa lakini ukifisadika na kuiba mamilioni/mabilioni ya shilingi unasifiwa kuwa we ni mtoto wa mjini. Mf. baada ya kutimuliwa uwaziri wa miundo mbinu baada ya ule ufisadi wa rada mzee wa vijisenti alipokelewa "Koromije" kama shujaa. Na mafisadi waliogawana yale mamilioni "ya mboga" si wapo tu wanadunda mitaani. Lakini huyu masikini kaiba kuku kahitimishwa laivu. Mkanganyiko!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom