Makapuku Forum

Makapuku Forum

Watu wa humu humu ndio wamemfanya asepe !

Sio mimi wala..! Nadhani ni bora akakaa sehemu ambapo anapata amani.
Aiseeeeeh mbona humu ndani makapuku classic ni full amani au watu wanamfuata PM huko ndiyo walipo mkimbiza dada yetu sakayo,poa poa chief cha msingi huko alipo ana amani ila nitamtafuta pia tuone ni wapi amekwazika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom