Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/The Deadliest Drought
c50eb2b66f76c58d2c049d49640d6a53.jpg
38319db6112eb05631bc575b9dede936.jpg
Ukame huu uliikumba China kati ya mwaka 1976 hadi 1979 unaambiwa mito ilikauka kiasi mtu ungeweza kuweka godoro na kulala
Ilisababisha vifo zaidi ya milioni 10
.....
Duh!!! China majanga!!!
 
2/The Black Plague
7796b7099960d9bf1f08de0b2ef11ff3.jpg
20f289c8e25faae1cd3ebe2c9eb7f19e.jpg

Huu ugonjwa wa tauni uliweka rekodi kwa kuua watu wengi kuliko magonjwa yote ya tauni kuwahi kutokea.
Ulitokea mwaka 1347 hadi 1350
Uliua 33% ya watu wote barani Ulaya
Pia ulipifa hodi Asia na Afrika Kaskazini na kuua idadi kubwa ya watu
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom