Makapuku Forum

Makapuku Forum

makapuku forum mi niko mgeni sana na jf (jamii forum) katika pita pita zangu nimeona niingie humu b'coz naona mnachat mambo mengi sana
"makidonyo oduenga" ndio majina yangu halisi natokea kenya
asubuhi nimetuma comment yangu paali hapa ila naona hakuna aliye-participate na post yangu
nataka niwe member wa humu makapuku b'coz mimi pia nisehemu ya makapukuz coz sina dollar
Karibu tena, asubuhi tulikukalibisha ila ukapotea, karibu tena comedian, hapa ni kuchat tu,toa like upate like
Matusi na porn haturuhusu, hapa ni full furaha
 
makapuku forum mi niko mgeni sana na jf (jamii forum) katika pita pita zangu nimeona niingie humu b'coz naona mnachat mambo mengi sana
"makidonyo oduenga" ndio majina yangu halisi natokea kenya
asubuhi nimetuma comment yangu paali hapa ila naona hakuna aliye-participate na post yangu
nataka niwe member wa humu makapuku b'coz mimi pia nisehemu ya makapukuz coz sina dollar
karibu sana humu toa like upate like mengine wataongezea
 
makapuku forum mi niko mgeni sana na jf (jamii forum) katika pita pita zangu nimeona niingie humu b'coz naona mnachat mambo mengi sana
"makidonyo oduenga" ndio majina yangu halisi natokea kenya
asubuhi nimetuma comment yangu paali hapa ila naona hakuna aliye-participate na post yangu
nataka niwe member wa humu makapuku b'coz mimi pia nisehemu ya makapukuz coz sina dollar
Karibu sana comedian katika familia hii

Huku sio kwamba no dollars ni mwendo wa shilingi tu.

BTW karibu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom