Makapuku Forum

Bakurutu vipi leo binamu


Aunty, nikose bakurutu nizeeke, hapa namalizia masuala kadhaa ya mkopo wa wikend ndo niwe na uhakika wa kibesi.

But leo naenda mahali kumsikiza gwiji la kukopi nyimbo za longi , ni sehemu tulivu sana.

Mjomba hayupo, una utaratibu gani sasa, au ndo unajipanga kuangalia bongo movie
 
1/Chelsea Clinton & MarcMezvinsky Chelsea ndo mtoto wa pekee wa Bill na Hillary Clinton
Mwaliko ulikuwa ukitolewa na ikulu
Ilihudhuriwa na watu mashuri tupu

Katika harusi yake viyoyozi pekee viligharimu USD 600,000
Ulinzi pekee uligharimu USD 200,000
Huku kipande kimoja pekee cha keki nikiwa ni USD 150

Tukutane J3
Mwisho
..........
 
hahahha binamu najipanga kuangalia shilawadu
mjomba wako ni sheeda siwezi toka bila yy kuwepo
 
santee kwa top 10 barikiwa
 
Asante bitoz kwa record za harusi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…