Makapuku Forum

5/Death Stalker Scorpion
Achana na Scorpion mtoboa macho wa Buguruni...huyu nge ni noma
Ukipigwa tu na mkia wake utapata maumivu makali hadi kuzimia au kutojitambua kabisa{coma) na kisha utakufa...
Wanapatikana Afrika Kaskazini na Asia mashabiki..
Sumu yake ni mara 200 ya "cobra wa kawaida"

Scorpion kick goal la Mkhitaryan ni kielelezo cha shughuli ya nge

.........
 
Dah!!! Hatari.....Nge ninavyojua hang'ati, mkia ndio silaha yake na ndio wenye Sumu

Ready to be corrected
 
Aisee
 
2/King Cobra Mfalme Koboko km jina lake lilivyo ndo Mfalme wa nyoka wote duniani..anapatikana huko kwenye misitu ya kwenye miinuko Kusini Magharibi mwa Asia
Huweza kufikisha hadi urefu wa futi 18.5 ana tabia ya kula nyoka wenzake
Sumu yake inaua mtu kwa dk 15 tu
Anaweza kumuua tembo mkubwa kwa masaa 3 tu
Ana ewezo wa kuto sumu kumzidi Black Mamba
......
 
aisee anakula mpk nyoka wenzake
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…