Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Tumekupata kubwa lao, pamoja sana!1/Ugonjwa wa Moto
Huu ndo ugonjwa mbaya zaidi duniani..huweza husababisha na sababu mbalimbali km vile,.. kisukari, shinikizo la jyu la damu na uzito uliopitiliza
Kwa kugundua uzito wa tatizo hili serikali imeanzisha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pale Muhimbili
Ndio ugonjwa unaomsumbua Yusuf Manji
Huua watu milioni 7.2 kwa mwaka
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Kifua kikuu ni ukimwi huo huo, maana ni Kinga ya mwili iko chinimmmh ugongwa hatar naskia pia haunatofauti sana na ukimwi
Kwema mkuuhahaha yaah nipo hapa mkuu kwema lakini??
mbona umenichinjia baharini kwa hilo swali lako!Ni ugonjwa gani unasababisha kuwa na ukimwi?
DiamondTuombe amani iendelee Mwadui
Shemela sasa unao wangapisad kwakweli
EwaaaUkimwi ni Upungufu Wa Kinga Mwilini
Ni mjumuiko wa maradhi mara kifua mara kuhara mara magonhwa ya ngozi
Wagonjwa wengi wa Ukimwi husumbuliwa na Kifua Kikuu ndio maana kooh. kooh kooh km vyura
.......
Anza leoKaribuni nitaanza kutumia avatar ya Oscar Kambona
faiza foxy voiceMpore => mpole
Moto /Moyo1/Ugonjwa wa Moto
Huu ndo ugonjwa mbaya zaidi duniani..huweza husababisha na sababu mbalimbali km vile,.. kisukari, shinikizo la jyu la damu na uzito uliopitiliza
Kwa kugundua uzito wa tatizo hili serikali imeanzisha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pale Muhimbili
Ndio ugonjwa unaomsumbua Yusuf Manji
Huua watu milioni 7.2 kwa mwaka
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Ukimwi ni Upungufu Wa Kinga Mwilini
Ni mjumuiko wa maradhi mara kifua mara kuhara mara magonhwa ya ngozi
Wagonjwa wengi wa Ukimwi husumbuliwa na Kifua Kikuu ndio maana kooh. kooh kooh km vyura
.......
Asante bitoz1/Ugonjwa wa Moto
Huu ndo ugonjwa mbaya zaidi duniani..huweza husababisha na sababu mbalimbali km vile,.. kisukari, shinikizo la jyu la damu na uzito uliopitiliza
Kwa kugundua uzito wa tatizo hili serikali imeanzisha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pale Muhimbili
Ndio ugonjwa unaomsumbua Yusuf Manji
Huua watu milioni 7.2 kwa mwaka
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Swali lipi mkuumbona umenichinjia baharini kwa hilo swali lako!
huu ugonjwa kwa kimombo unaitwa aje? naona kama sijauelewa kwa jina hilo la ki Tz1/Ugonjwa wa Moto
Huu ndo ugonjwa mbaya zaidi duniani..huweza husababisha na sababu mbalimbali km vile,.. kisukari, shinikizo la jyu la damu na uzito uliopitiliza
Kwa kugundua uzito wa tatizo hili serikali imeanzisha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pale Muhimbili
Ndio ugonjwa unaomsumbua Yusuf Manji
Huua watu milioni 7.2 kwa mwaka
Tukutane kesho
Mwisho
.......
uliuliza ugojwa gani unasababisha ukimwiSwali lipi mkuu
Bitoz alitolea ufafanuziuliuliza ugojwa gani unasababisha ukimwi
heart attackhuu ugonjwa kwa kimombo unaitwa aje? naona kama sijauelewa kwa jina hilo la ki Tz
ninae mmojaushafyatua wangapi??