AiseeSiku najiandikisha hapa JF kila jina ninalolitaka kutumia naambiwa tyr linatumika, hivyo nikaamua kuchagua jina la kibabe nikakuta lipo available nikaanza kutumia.
Lakini halikuwa kipaumbele changu kabisa. Sasa baada ya kula " Life Ban " ndio nikaja na Mussolin5 baada ya Mussolini kufutwa mazima.
Ndaga fijhoLugha 2000
Inakadiriwa barani Afrika zinazungumzwa lugha takribani 2000...Lugha nyingi ni za kikabila/asili, ila lugha za kigeni hutumiwa zaidi km lugha za kiofisi
Kwa Tanzania makabila yote yameunganishwa kwa lugha moja yaani Kiswahili tunachotambia humu JF
Ndaga Kyala!!
.........
Soma kwanza page no 1_3Hodi jamani nombeni niwe member wa makapuku
Masimango hayoPia ndio bara lenye utajiri mkubwa wa maliasili ila watu wake wengi ni mazuzu hivyo Wageni wanakuja kujichotea na kuondoka huku wazawa wakiwa hohehahe.
Hahaaaa
Kutoka darfur mpaka Khartoum ni sawasawa na dar to bukoba, bado ni nchi kubwaSudan
Ndio nchi yenye eneo kubwa zaidi barani Afrika
Kuna Sudan Kusini na Kaskazini hivyo sijajua km inaongelewa Sudan ya zamani kabla ya kugawanyika au inaongelewa Sudan Kaskazini/Jamhuri ya Sudan kwa Bashir
Ukubwa wake ni maili za mraba 968,000
.....
Humu hakuna maombi ni yjanja wako tu na mautundu ndo hata kura mbili anaHodi jamani nombeni niwe member wa makapuku
Ndio ukweli wenyewe huoMasimango hayo
.......
Mabepari wanatunyonya kisha tunawapigia magoti kuomba misaada tukipewa tunafikiri tumesaidiaTanzania, Congo (DRC) na Angola, utajili uliopo kwenye hizi nchi ni sawasawa na Bara zima la Ulaya
Ujanja wa nnHumu hakuna maombi ni yjanja wako tu na mautundu ndo hata kura mbili ana
Karibu
....
Bitoz ukifanikiwa kufika mwadui shinyanga unaweza kulia aiseeMabepari wanatunyonya kisha tunawapigia magoti kuomba misaada tukipewa tunafikiri tumesaidia
Wanachimba tu madini hawalipi kodi hadi "wakijisikia wameanza kupata faida" sasa jiulizo miaka 29 mtu km jhapati faida mbona harudi kwao
......
Kuingia tuu humu tayari wewe ni member...Hodi jamani nombeni niwe member wa makapuku
Watu wanaathirika tu na sumuBitoz ukifanikiwa kufika mwadui shinyanga unaweza kulia aisee
Liberia waliuana sana kisa almasWatu wanaathirika tu na sumu
Sierra Leone kuna almasi za damu
This is Africa
.......