Makapuku Forum

1947 - Johan Cruyff anazaliwa.

Staa wa zamani wa Ajax, Barcelona na timu ya taifa ya Uholanzi.

Mmoja kati ya wanasoka bora kuwahi kutokea Duniani.

Ndio muasisi wa chuo maarufu cha soka cha Barcelona, La Masia.
Alikuja Bongo miaka michache kabla ya kifo chake

Barca si waluahidi kuupa uwanja sijui jina lake
.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…