Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nah, sio kwamba halifai bali njia ni mbaya mnoo, kwa kipindi nilichoenda mimi kama family tour ilikua 2009, kuna sehemu kulikua na kimlima kipo kwenye kona alafu kimeliwa sana na ile soil erosion so gari ikashindwa kupita, tulipoliacha pale gari tulienda umbali wa kama 3 or 2km's hadi tulipoanza kupandisha milima, alafu ardhi ya tukuyu ni laini sana, mvua kidogo tope linajaa.

pili wakati wa kushuka kwenda kugusa yale maji ya ziwa mvua zikinyesha kunateleza sana muda mwingine mnatumia kamba/mizizi ya miti kushuka, kuja kufika kule chini mnakua mmejaa tope mwili mzima
Asanteni wakuu
 
Fantastic tour
of course it was real fantastic man, nilijifunza vitu vingi sana dat day, kitu kinachonishangaza sana, tulipo fika kwenye yale maji wale askota tuliopewa getini walituambia tufanye tunachoweza kuyafanyia yale maji lakini tusithubutu kuyaweka mdomoni wala kuchota kuondoka nayo, tulijaribu kuwauliza reason behind lakini waligoma kutuambia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom