Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nah, sio kwamba halifai bali njia ni mbaya mnoo, kwa kipindi nilichoenda mimi kama family tour ilikua 2009, kuna sehemu kulikua na kimlima kipo kwenye kona alafu kimeliwa sana na ile soil erosion so gari ikashindwa kupita, tulipoliacha pale gari tulienda umbali wa kama 3 or 2km's hadi tulipoanza kupandisha milima, alafu ardhi ya tukuyu ni laini sana, mvua kidogo tope linajaa.

pili wakati wa kushuka kwenda kugusa yale maji ya ziwa mvua zikinyesha kunateleza sana muda mwingine mnatumia kamba/mizizi ya miti kushuka, kuja kufika kule chini mnakua mmejaa tope mwili mzima
Du aisee
 
Nah, sio kwamba halifai bali njia ni mbaya mnoo, kwa kipindi nilichoenda mimi kama family tour ilikua 2009, kuna sehemu kulikua na kimlima kipo kwenye kona alafu kimeliwa sana na ile soil erosion so gari ikashindwa kupita, tulipoliacha pale gari tulienda umbali wa kama 3 or 2km's hadi tulipoanza kupandisha milima, alafu ardhi ya tukuyu ni laini sana, mvua kidogo tope linajaa.

pili wakati wa kushuka kwenda kugusa yale maji ya ziwa mvua zikinyesha kunateleza sana muda mwingine mnatumia kamba/mizizi ya miti kushuka, kuja kufika kule chini mnakua mmejaa tope mwili mzima
Fantastic tour
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom