Makapuku Forum

6/Lake Malawi
Linazitenganisha Tanzania na Malawi huko Kyela Mbeya
Ukiwa upande wa Tanzania linaitwa Ziwa Nyasa halafu ukiwa Malawi linaitwa Ziwa Malawi
Ndio ziwa lenye samaki wa aina nyingi kuliko yote duniani...sasa usishangae kwanini linagombewa!!!
Nimebahatika kufika Ngonga na Matema Beach na kugundua lina mchanga wa punje kubwakubwa ambao unaunguza wakati wa juakali
Safu za Milima ya Livingstone zinaanzia/ishia huko
Lina kina cha mita 706

Umewahi kula usipa?
Wanapatikana huko...kwanini Wanyaki wasinenepe
........
 
3/Caspian Sea
Ndio ziwa kubwa zaidi duniani
Linapatikana kati ya nchi za Urusi,Kazakhstan. Azerbaijan,Turkmenistan na Iran
Watu wa kale walifikiri ni bahari sababu lina majichumvi
Lina kina cha mita 1025
........
 
2/Lake Tanganyika
(picha nimezipiga mwenyewe wakati nikiwa Kigoma)

Ndio ziwa lenye kina kirefu zaidi barani Afrika
Kwa sehwmu kubwa linatenganisha nchi za DRC na Tanzania
Nafikiri kila mtu kawahi kula dagaa wa Kigoma
Lina mchanga laini
Lina kina cha mita 1470
........
 
1/Lake Baikal
Ndio pia ziwa kubwa zaidi la majibaridi duniani
Linapatikaba huko milimani Urusi katika jimbo la Siberia karibu na mpaka wa Mongolia
Lina kina cha mita 1642

Ahsanteni kwa nami
Mwisho
...........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…