Makapuku Forum

Sanchez na Ozil wanapoteza muda tu pale japo wapo fainali FA lakini babu Wenger atafanya upuuzi wake km kawa na vitoto chake na TO 4 kuingia kazi wanayo na wanaweza shika # 4 na wasicheze Champions League iwapo Man Utd atachukua Europa
.......
Binafsi nakubaliana na wanaounga mkono Mesut Ozil kuondoka..... Ila pia binafsi naunga mkono wanaokubaliana na Alexis Sanchez kuongeza mkataba pale arsenal...... Ila nipo 50/50 na wanaomtaka babu Wenger abaki na wanaomtaka mzee Arsen atoke pale arsenal......
 
Wakuu ngoja niwaletee TOP TEN mapema kabisa
Leo tutaangalia maziwa yenye kina kirefu zaidi duniani
Kwamfano tuweke maji kwenye beseni au hata likiwa tupu sasa tunatumbukiza rula wima ili kujua kina chake
Kipimo kipo katika meta
Karibuni
.......
 
9/Crater Lake

Linapatikana huko Marekani katikajimbo la Oregon.ambako linajulikana km National Crater Lake
Halina mto unaomwaga maji kutokea huko wala kuelekea huko
Miaka mingi iliyopita lilikuwa linalipuka volkano
Lina kina cha mita 592
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…